Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Au kuna uchawi unatumika kuwavutia watu?Ikiitwa bank ya makabwela ,
Sijui maana yake ni nini?
Yaani sijui kama kuna bank nyingine yoyote bongo ina foleni ya ajabu kama hiyo!
Kina Mwaka sijui 2006 niliwahi kuingia huko the Tawi la karibia Na NAO mjini mtaa wa Samora umati nilokutaga kule na A/.c yenyewe nikaitekelekeza mazima tangu siku hiyo [emoji108]
Safi kiafya au kiuchumi?Nyama mara sita Kwa mwezi ni safi kabisa wastani wa mara 1.2 Kwa wiki
CRDB ipi? salary bado mshuaMshahara umetoka Ndugu tangu Saa moja Au hutumii CRDB mkuu
CRDB wamepata toka jana ila Li benk la wakulima NMB bado.CRDB ipi? salary bado mshua
Kiafya. Mimi nyumbani kwangu nyama ni mara mbili Kwa wiki. Moja mchuzi katikati ya wiki nyingine pilau juma pili. Huku kati ni mwendo wa Dagaa, maharage, kabichi, etc.Safi kiafya au kiuchumi?
Mjomba Salary imetoka tangu jana mimi ndo nakwambia Wwe na naelekea kumaliza Hela kabisa maana jana nilitandika bia za kutosha 😅😅CRDB ipi? salary bado mshua
Serikali ya ccm haijawah kuwa serious kwenye jambo lolote zaid ya ufisadi na uchakachuaj wa kuradah crdb wengine wamepata wengine hatujapata sijui shida nini?
unamaanisha kuna baadhi wamepata wa CRDBdah crdb wengine wamepata wengine hatujapata sijui shida nini?
MKUU SAMAKI UNAKULA LINI?Kiafya. Mimi nyumbani kwangu nyama ni mara mbili Kwa wiki. Moja mchuzi katikati ya wiki nyingine pilau juma pili. Huku kati ni mwendo wa Dagaa, maharage, kabichi, etc.
CRDB bado... kuna shidadah crdb wengine wamepata wengine hatujapata sijui shida nini?
Oya mazee hivi ni kweli au mnaleta masihara ni serious kabisa mnasubiri salary kwa hamu hvyo ?CRDB bado... kuna shida
sio Chilonahuyu atakuwa mpwayungu village
Vita ya Israeldah crdb wengine wamepata wengine hatujapata sijui shida nini?
ndo maana yakeunamaanisha kuna baadhi wamepata wa CRDB
Suala la watumishi wengi wa serikali kuwa NMB ni kwamba hapo awali hadi kwenye miaka ya 2010, CRDB haikuwa na matawi mengi hasa wilaya zilizoko pembezoni hivyo ilikuwa mtumishi anapoajiriwa akiambiwa afungue akaunti lazima ataenda NMB kwasababu ndiyo benki pekee iliyopo....sasa angalau CRDB wamefika wilaya nyingi na watumishi wengi wanahamisha akaunti zao za mishahara kwenda huko.....Au kuna uchawi unatumika kuwavutia watu?
Kwa upande wa watumishi wengi wa umma kuwa member wa NMB ni hofu tu , wengi wanaamini ukiwa NMB ndio utapata mikopo na ukiwa nje ya NMB hata mshahara hutalipwa