Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

Ikiitwa bank ya makabwela ,

Sijui maana yake ni nini?

Yaani sijui kama kuna bank nyingine yoyote bongo ina foleni ya ajabu kama hiyo!

Kina Mwaka sijui 2006 niliwahi kuingia huko the Tawi la karibia Na NAO mjini mtaa wa Samora umati nilokutaga kule na A/.c yenyewe nikaitekelekeza mazima tangu siku hiyo [emoji108]
Au kuna uchawi unatumika kuwavutia watu?
Kwa upande wa watumishi wengi wa umma kuwa member wa NMB ni hofu tu , wengi wanaamini ukiwa NMB ndio utapata mikopo na ukiwa nje ya NMB hata mshahara hutalipwa
 
Kiafya. Mimi nyumbani kwangu nyama ni mara mbili Kwa wiki. Moja mchuzi katikati ya wiki nyingine pilau juma pili. Huku kati ni mwendo wa Dagaa, maharage, kabichi, etc.
MKUU SAMAKI UNAKULA LINI?
Kitu ambacho nimefeli maishani mwangu ni kujiwekea bajeti ya chakula mfano Jumatatu nitakula kitu fulani kwa kiasi hiki au niwekee kiasi fulani kwa ajili ya matumizi ya mwezi mzima?
 
Au kuna uchawi unatumika kuwavutia watu?
Kwa upande wa watumishi wengi wa umma kuwa member wa NMB ni hofu tu , wengi wanaamini ukiwa NMB ndio utapata mikopo na ukiwa nje ya NMB hata mshahara hutalipwa
Suala la watumishi wengi wa serikali kuwa NMB ni kwamba hapo awali hadi kwenye miaka ya 2010, CRDB haikuwa na matawi mengi hasa wilaya zilizoko pembezoni hivyo ilikuwa mtumishi anapoajiriwa akiambiwa afungue akaunti lazima ataenda NMB kwasababu ndiyo benki pekee iliyopo....sasa angalau CRDB wamefika wilaya nyingi na watumishi wengi wanahamisha akaunti zao za mishahara kwenda huko.....
 
Back
Top Bottom