kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Lady doctor yupo.Walipotelea wapi
Huyo mwingine can't say.
Hapa naona kura hazifiki hata 500 ukizikusanya zote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lady doctor yupo.Walipotelea wapi
campaign manager mbona unakata tamaa😂😂😂😂Kama Leejay49 ameongoza kwa Siku Nne ( 4 ) mfululizo hadi hii leo ya mwisho hata kama asiposhinda Yeye na akashinda huyo Mwingine bado Kwangu Mimi Mshindi wangu atakuwa ni Leejay49 tu.
Na labda nikusaidie tu kuwa kama kuna Mtu ambaye wala hakutegemewa kuwa angepata Kura nyingi hizi na Kuongoza kwa hizo Siku Nne ( 4 ) mfululizo basi ni Dada yangu Leejay49 na badala yake kuna Magwiji Wawili ndiyo walikuwa Wanategemewa na Wanajiamini kuwa ndiyo Wangeongoza kutokana na Umaarufu wao mkubwa hapa JamiiForums.
Leejay49 hata haya Matokeo yaweje ila Kwangu Mimi GENTAMYCINE najua kuwa Wewe ndiyo Mshindi Halali wa hili Shindano kwakuwa umekuwa Ukiongoza ( Ukiwatimulia Vumbi Washindani wako ambao hadi leo hawapati Usingizi ) kwa Siku Nne ( 4 ) mfululizo.
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?
1. Ni Mrembo hakuna mfano
2. Ni Mwerevu wa uhakika
3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka
4. Hana Dharau
5. Ni Mkarimu
6. Hana Majungu, Chuki na Wivu
7. Siyo Mnafiki na Mzandiki
Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.
Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.
NIMEMALIZA.
Jamaa ana chekesha huyo😂🤣campaign manager mbona unakata tamaa😂😂😂😂
kuongoza ligi mfululizo sio ushindi ..tunataka Msimamo wa siku ya mwisho. Hizo siku nne ni week days watu wapo busy na shughuli za za kimaendeleo wewe huna kazi ndio maana ulikuwa unapiga kampeni...
Watu wamekuja weekend hii na comeback.
unakuwa kama arsenal bhna kujisifia kuongoza ligi na ubingwa hauchukui..
haya mchukue huyo mshiriki wako mkapongezane kuongoza ligi kwa siku 4
yaan wewe na mshiriki wako mmeshindwa na mtu ambaye hata haji kinachoendelea...duuuhhKama Leejay49 ameongoza kwa Siku Nne ( 4 ) mfululizo hadi hii leo ya mwisho hata kama asiposhinda Yeye na akashinda huyo Mwingine bado Kwangu Mimi Mshindi wangu atakuwa ni Leejay49 tu.
Na labda nikusaidie tu kuwa kama kuna Mtu ambaye wala hakutegemewa kuwa angepata Kura nyingi hizi na Kuongoza kwa hizo Siku Nne ( 4 ) mfululizo basi ni Dada yangu Leejay49 na badala yake kuna Magwiji Wawili ndiyo walikuwa Wanategemewa na Wanajiamini kuwa ndiyo Wangeongoza kutokana na Umaarufu wao mkubwa hapa JamiiForums.
Leejay49 hata haya Matokeo yaweje ila Kwangu Mimi GENTAMYCINE najua kuwa Wewe ndiyo Mshindi Halali wa hili Shindano kwakuwa umekuwa Ukiongoza ( Ukiwatimulia Vumbi Washindani wako ambao hadi leo hawapati Usingizi ) kwa Siku Nne ( 4 ) mfululizo.
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?
1. Ni Mrembo hakuna mfano
2. Ni Mwerevu wa uhakika
3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka
4. Hana Dharau
5. Ni Mkarimu
6. Hana Majungu, Chuki na Wivu
7. Siyo Mnafiki na Mzandiki
Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.
Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.
NIMEMALIZA.
Ume piga kura lakini😄yaan wewe na mshiriki wako mmeshindwa na mtu ambaye hata haji kinachoendelea...duuuhh
kumbe hata tungeweka huyo mshiriki wako ashindane na jiwe tena wewe ukipiga kampeni ila jiwe lingeshindaa
lilikuwa halina kazi wiki nzima kupiga kampeni mpka likafungua na uzi mpya kabisa wa kampeni ..sasa hivi linajisifu kuongoza kwa siku 4Jamaa ana chekesha huyo😂🤣
Mshiriki wangu ndio anaongoza ...😂😂😂Ume piga kura lakini😄
Kazi IPO 🤣😄😄lilikuwa halina kazi wiki nzima kupiga kampeni mpka likafungua na uzi mpya kabisa wa kampeni ..sasa hivi linajisifu kuongoza kwa siku 4
Ngoja tuone 😂😄😄Mshiriki wangu ndio anaongoza ...😂😂😂
hapa hakuna u serious...ila ni sehem ya kuchangamsha jukwaa ila kuna jamaa GENTAMYCINE linatukera linachukulia mambo serious na kudharau wengine kumpigia kampeni mtu wake...Mnamkosea faizafox heshima hata kama tunatofautiana mawazo hii si sawa.ila natumai ni utani na udugu tu
Mie na tukana watu humu sana so wanawekwa watu wenye heshima wapigiwe kura ila kura yangu wewe nakupa a male ambaye anajua umuhimu wangu kiswahili mwanaume anayejua umuhimu wanguSijapenda kabisa kwanini hajawekwa Unique Flower
Unajua mtoa mada ananichukia sana so wala usijali unanipenda inatosha
hii kamati ya shindano sijapend ilichokufanyiaa kabisaa..Mie na tukana watu humu sana so wanawekwa watu wenye heshima wapigiwe kura ila kura yangu wewe nakupa a male ambaye anajua umuhimu wangu kiswahili mwanaume anayejua umuhimu wangu
Unajua mtoa mada ananichukia sana so wala usijali unanipenda inatosha
Mie ningepata kwa wote hujuagi tu. Sema tu sifagiliagi kupendwa sana napenda mengine sii wanadamu kunipendaNiliogopa usingepata kura hata moja Mkuu. 😄😄 Nsamehe
Eti kasema kuwa mie nisingepata kura hata mojahii kamati ya shindano sijapend ilichokufanyiaa kabisaa..
asante kwa tuzo yako pia
Umewataja watu sio ndio mana ulidhani wangepata watu wengiGENTAMYCINE waombe wenye kura pungufu ya 20 wahamishe kura zao kwa mgombea wako Leejay49 . Hali sio nzuri huku Yakhee!