Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kina vitu havihitaji hata kuuliza ndugu! ile aio starehe ya kwamba mtu anahitaji hiyo pesa akalewee ile ni shida inayohusu afya moja kwa moja!.Kwa hiyo wewe ungekuwa dereva wa hiyo ambulance ungetoa fedha yako ununue mafuta?
ulitaka nieleweje ng'ombe weweumeelewa nilichoandika ama kusoma unajua ila kuelewa ni zero....????
Hata kama unatafuta u expert sio kwa kiasi hiki, mama mjamzito kafariki kwa kukosa huduma we unasema ujinga.....Acha kufananisha utamu wa goli na vitu vya kijinga
Ni masikitiko makubwa hivi ile Kizimkazi Festival ilitumia kiasi gani?!
Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.
Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.
Hii hakuna anaye jali kabisa.
Inauma sana kumpoteza mpendwa wako. Hivi kweli serikali inashindwa kuwa mfuko wa dharura kwa ajili watu kama hawa?Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.
Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.
Hii hakuna anaye jali kabisa.
Kweli mkuu, Hii changamoto yake ni elimu. Lazima kujipanga sio kujaza jaza tu kuna muda serikali inatupiwa lawama nzima wakati lawama inabidi iende pande zoteIla ujauzito ni mchakato maandalizi ya kujifungua ni muhimu sana hasa kwa wanaume tusiishie kutia mimba tu tuwajibike unakuta jitu linatia mimba Kila baada ya miaka miwili hospital akiambiwa achangie japo dawa na vipimo anakuambia Sina pesa inasikitisha sana.
Siri ya chamaNi masikitiko makubwa hivi ile Kizimkazi Festival ilitumia kiasi gani?!
Wananchi ukiwaambia tuungane tuwajibishe serikali wanakwambia wao hawataki siasaWizara ya afya iangalie uwezekano wa kupunguza gharama za Ambulance!!
Route za ndani ya mji 60000,Moro-Dar 230000
Inatakiwa ilipwe yote ndo mgonjwa aondoke! Ni watanzania wangapi wanamudu?
Au basi ingewekwa kwenye Bill ya mgonjwa,yaani asafirishwe ndugu wakiwa wanatafuta pesa!
Niliwahi kuwa na jamaa yangu hospitali ya rufaa Morogoro aliyepata ajali ya pikipiki, inatakiwa aende Muhimbili kwa ambulance. Hapo kuna majeruhi wengine wawili wa ajali ya gari, wanaunganishwa wote kwenye ambulance na kila mgonjwa alitakiwa kutoa 350K. Yule jamaa yetu ilibidi tumpakie Abood kesho yake kwani kesi yake ilikuwa ni ya fracture tu ya mkonokwenye hili nitamtetea jamaa hata kama kujipanga ndio lkn 180000 hiyo nauli hata dar mwanza ni kubwa! hapa kuna namna ambulance imepewa wapigaji kuna upuuzi umefanyika kwa maksudi hapa!.