Mkataba wa kuendesha Bandari za Tanzania wa DP WORLD ya Dubai hautazihusu Bandari za Zanzibar
Ungeweka option ya POLL pale juu,ili iwe rahisi kupiga kura.
 
Wanaotaka DP World waje Kuwekeza Bandarini Tanzania tujuane na wale Wasiotaka Wawekeze wajuane pia.

Kuanza na Mimi GENTAMYCINE baada ya Kupima, Kusoma, kuufanyia Utafiti mdogo tu huku nikijiridhisha na Ufanisi wao na kwa Maendeleo chanya kwa Taifa Kiuchumi, Kimaendeleo na Kiajira leo natamka rasmi kuwa Mimi sasa ni TEAM DP WORLD WAWEKEZE Tanzania.

Naomba niwajue na Wenzangu pia. Na ukiona GENTAMYCINE nakubali Kitu jua kipo sahihi kwa 100% kwani Mwenyezi Mungu kanibariki na Maono makubwa, Hisia Kali na Utambuzi wa haraka hivyo DP World hawana baya wala tatizo tuwakaribisheni tu.
Kuna JF member mmoja anakusagia kunguni sana.

Mie nakubaliana na hii hoja yako.

Haujawahi kutuangusha
 
Wanaotaka DP World waje Kuwekeza Bandarini Tanzania tujuane na wale Wasiotaka Wawekeze wajuane pia.

Kuanza na Mimi GENTAMYCINE baada ya Kupima, Kusoma, kuufanyia Utafiti mdogo tu huku nikijiridhisha na Ufanisi wao na kwa Maendeleo chanya kwa Taifa Kiuchumi, Kimaendeleo na Kiajira leo natamka rasmi kuwa Mimi sasa ni TEAM DP WORLD WAWEKEZE Tanzania.

Naomba niwajue na Wenzangu pia. Na ukiona GENTAMYCINE nakubali Kitu jua kipo sahihi kwa 100% kwani Mwenyezi Mungu kanibariki na Maono makubwa, Hisia Kali na Utambuzi wa haraka hivyo DP World hawana baya wala tatizo tuwakaribisheni tu.
Sawa. Mikataba iboreshwe. Kwani mtu unapojiunga whazup au apps nyingine zinazofanana na hizo,kuna mlolongo wa mkataba pale wewe unabonyeza tu next and I agree. Mbona haijawahi kuzingua? Ukimchunguza Sana bata nyama yake huli.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom