MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Thanks for sharingNasikia dada ni tajiri sana pia No 1 models Spain...amemzidi dogo 12yrs dada ana 36 dogo 24 alimkuta ndio anaanza mpira akiwa 19 yrs ameenda nae hadi sasa na wana watoto ....dada analipa cost run nyumba na watoto pia na gharama zake nadhani wamepishana baada tabia dogo kubadilika ana kashfa kubakia huyo dogo ....tuweze balance story.....
Hakimi analipa kwa kuwa mama yake alimlea kwa tabu (ni deni)Hapo tatizo ni mahakama. Kama mishahara ilikuwa inaenda kwa mama yake. Mahakama ilitakiwa kujirisha kuwa mishahara inaenda kwa mama yake. Ilikuwa ni sababu tosha kuwa mama yake alikuwa ni kipitishio na kifichio cha hela hizo. Kwa hiyo jamaa alifanya makusudi alijua anamficha mkewe. Huo ndio ungekuwa unayanyasaji mkubwa zaidi. Mahakama ingeamua fedha za mama ni za jamaa.
Mahakama ilitakiwa kuhoji. Hela za mama anazioata kwa kazi gani anayoifanya. Vinginevyo ni utakatishaji wa kumfucha mke.
Jamani siungi mkono tabia za wanawake kutolewa na kuachika ili kudai mali.
Nadhani sasa mtamuelewa mama's boy Diamond platnumz dogo aliusoma mchezo mapema sana Kila kitu kipo kwa Jina la bi Sandra alijua ma Gold diggers kina mobetto wange mmaliza Hawa ma slay queen Wana la kujifunza, hata sikumoja Maza hawezi kukugeuka mwanae ila Hawa viumbe wa kuitwa mke sijui mzazi mwenzangu dakika sifuri tu, mwamba hakimi amecheza kama pele.
Mama'sboy 5 - slay queens 0
Kuna mchezo jokeri lina maana kubwaInaitwa kulamba jokeri ndio huyo dada sasa
Sasa akiachana na Shamte hawatagawana mali?Maza amegoma kurudia umasikini wa tandale lazima akomae tu wamchukie shauri yao analinda haki za mwanae.
Hujasikia upande wa pili.....as yule dada na alivyomsaidia kufika hapo akiwa ulaya .....nadhani ana deserve amlipe waachane kwa amani..sidhanikama dada ana shida kivile ni mrembo no 1 Spain....amemlea dogo from 19yrs to 24 yrs leo Dada ana 36 yrs sasaMimi ni KE,alichofanya jamaa kanifurahisha Sana.
Sasa Kaka zetu wa Kibongo wajifunze TU,maana wengine wanaogopa hata kuachana na mke kiss Mali alizochuma,Hadi talaka anaogopa kutoa.
YAANI HUYU MWAMBA KANIFURAHISHA SAAAANA.Wale Wanawake wenzangu wanaotoa mimacho KWENYE Mali wajifunze.
Antie hiyo mambo ya hakimi sijui kama inafanya kazi kwa nchi za kiafrica.
Unaandikisha mali zako zote kwa jina la mama,ndugu wanamuua warithi mali[emoji23] au mama anachukua mali anampelekea mchungaji ama atafute ben 10 amlee[emoji23][emoji23]
Wabongo waache kujifariji
Kwani Georgina ana shida gani? Namuonaga yuko cool sanaKutangaza na kufunga ni vitu viwili tofauti,Hawezi kufunga ndoa labda mama yake awe amekufa. Ronaldo anamsikiliza mama yake kuliko mtu yeyote hapa duniani.Mama yake alishakataa CR7 kufunga ndoa na Georgina.
Amemlea wapi mkuu acheni hizo hapa halambi hata Mia kama anajiweza angeondoka kimya kimyaHujasikia upande wa pili.....as yule dada na alivyomsaidia kufika hapo akiwa ulaya .....nadhani ana deserve amlipe waachane kwa amani..sidhanikama dada ana shida kivile ni mrembo no 1 Spain....amemlea dogo from 19yrs to 24 yrs leo Dada ana 36 yrs sasa
Ashraf hata mimi namdai, ngoja deni langu lihamie kwa yule gold digger atakoma usumbufu wangu, namdai kuliko serikali ya chinaImesemekana ashraf ana madeni,
Inabd wagawane na madeni pia[emoji38]
Yuko cool anaigiza apate ndoa siku apate ndoa tu ndio rangi halisi utaziona na Ronaldo mjanja mjanja anamzalisha tu no ndoaKwani Georgina ana shida gani? Namuonaga yuko cool sana
Subiri aolewe ujue tabia yakeKwani Georgina ana shida gani? Namuonaga yuko cool sana
Inategemea! Mwanamke azikute Mali,au Mali zimkute Mwanamke ndani!! Kwa issue ya huyo Dada, Mali alizikuta kitambo tu!!Mimi ni KE,alichofanya jamaa kanifurahisha Sana.
Sasa Kaka zetu wa Kibongo wajifunze TU,maana wengine wanaogopa hata kuachana na mke kiss Mali alizochuma,Hadi talaka anaogopa kutoa.
YAANI HUYU MWAMBA KANIFURAHISHA SAAAANA.Wale Wanawake wenzangu wanaotoa mimacho KWENYE Mali wajifunze.
Mwambie bibi yao Yuko vizuri kiuchumi atawaleaKapuku anatoa wapi child support? [emoji1]
Unafikiria amepaa akadondoka ulaya ? Mafanikio yako laizma tunachangia na watu .....hizo hasira tu lakini ukweli upo dada anastahiki chake ....na wana mtoto piaa ....hapo utasemaje ? Child support kwa sana lazimaAmemlea wapi mkuu acheni hizo hapa halambi hata Mia kama anajiweza angeondoka kimya kimya
Child support amcheki Bibi ( 075463636364) jina linakuja mama achraf [emoji23]Unafikiria amepaa akadondoka ulaya ? Mafanikio yako laizma tunachangia na watu .....hizo hasira tu lakini ukweli upo dada anastahiki chake ....na wana mtoto piaa ....hapo utasemaje ? Child support kwa sana lazima
Kumbe Dada nae ni tajiri mpigaji!!?? Basi vibuyu vimeumana!!Nasikia dada ni tajiri sana pia No 1 models Spain...amemzidi dogo 12yrs dada ana 36 dogo 24 alimkuta ndio anaanza mpira akiwa 19 yrs ameenda nae hadi sasa na wana watoto ....dada analipa cost run nyumba na watoto pia na gharama zake nadhani wamepishana baada tabia dogo kubadilika ana kashfa kubakia huyo dogo ....tuweze balance story.....
Kumbuka hela amepata sheria ya spain au paris ....sio za morroco.....Ile transfer fund wana trace bibi anaitwa court aseme anapata wapi cash flow atasema kutoka mwanae ambae anafanya kazi ulaya .....kesi bado mbichiChild support amcheki Bibi ( 075463636364) jina linakuja mama achraf [emoji23]