Kwa nini asiandike jina lake jamanii amempiga na kitu kizito best π¬π¬π¬Siyo ubinafsi hawa wanawake wa ulaya wameshafanya ni mchezo kuwadhulumu ngozi nyeusi mali zao kirahisi ss imefika zamu yao na hh ndiyo dawa
Roho mbaya tu wewe unadhani kulea watoto kazi ndogo pengine kachangia kwenye hizo Maliπ¬hamna lolote. jamaa atakuwa alianza kusoma mchezo mapema akaona bora afanye akili mapema. kwani kumzalia watoto ndio kitu gani? bila de liboloz huyo mwanamke angeweza kuzaa? wanawake tulizeni mbusus hizo muolewe kwa sababu mnataka kugegedwa na sii kupata mali.
sasa unataka wanaume tuu ndio wawe wanapigwa na kitu kizito. loh!Kwa nini asiandike jina lake jamanii amempiga na kitu kizito best π¬π¬π¬
Yaani Wanaume siku hizi mmekuwa matapeli wa mali dahπ¬π¬π¬Kwangu Hakimi ni shujaa, ndio mke wake ana watoto wawili ila ukiangalia vizuri mwanamke alitaka Mali na inawezekana ana mwanaume pembeni,mbona Shakira hakudai Mali alizochuma na Pique...
Nashauri akate rufaa πππsasa unataka wanaume tuu ndio wawe wanapigwa na kitu kizito. loh!
wewe huyo atauwa alishaona kuwa huyu mwananmke anataka kusepa na mali.Roho mbaya tu wewe unadhani kulea watoto kazi ndogo pengine kachangia kwenye hizo Maliπ¬
Emanuel Ebour aliweka kila kitu Kwa mwanamke wake mzungu akapoteza Mali zake zote baada ya talaka.Hawa watu wa chake chake chako chenu. Wakati jayD anaachana na gadna watu walikuwa wanamwandamaba gadna asije dai mali ya mwanamke
mmeyataka wenyeweYaani Wanaume siku hizi mmekuwa matapeli wa mali dahπ¬π¬π¬
Alijua kuna siku Mtu aliyeumbwa na Ubinafsi wa kuzaliwa atataka Kuchukua kila kitu!Jamaa ana roho ya ubinafsi mtu kakuzalia watoto wawili kwa nini mali andike za Mama yakeπ¬π¬
sasa ni mwendo wa kuandika jina la mama tuu.Emanuel Ebour aliweka kila kitu Kwa mwanamke wake mzungu akapoteza Mali zake zote baada ya talaka.
Hakimi ni role model Kwa wanaume wote duniani
Kesi bado haijaisha lakini bibie anaweza kupindua meza hii ajabu Mali kuandikishwa Mama mzaa chema ngoja nianze na mimi kuchunguza hizi karatasi kaandika kwa jina langu auπ¬πππwewe huyo atauwa alishaona kuwa huyu mwananmke anataka kusepa na mali.
mwanaume akikuona umekaa kimaslahi lazima ajiongeze.
sasa kulea mtoto nyie wenyewe sii mnatakaga watoto. mbona kidume mzabzab akisema njoo nikuoe alafu tutulie tuu tuwe tonagegedana bila watoto mnakataa. yeye ashukuru kapata watoto jamaa atawahudumia jumlisha na yeye.
mama anakula kuku kwa mlija tuu sasa
Mimi ndo kauzu mwenyewe nafanya Kila kitu Kwa Siri bila Mwanamke kufahamu, nasema vichache sana huku nikicheza karata zangu, bad boys ni wanaume ambao wanatumia akili kuliko hisia.Yaani Wanaume siku hizi mmekuwa matapeli wa mali dahπ¬π¬π¬
Umetumia kigezo gani kumuita malaya?Huyu ndio mwamba..!!!!
Mamaeee malaya kala za mbavu....
ah sasa jamaa ndio hana mali ndio lopophole aliyoitumiaNashauri akate rufaa πππ
Hiyo ni akili kubwa tuu, kama una akili kisoda huwez kuelewaNadhani ubahiri wake pia umevunja ndoa,haiwezekani mali zote ziwekwe kwa jina la mamaake.