Kumbe ndio huyo ungenyooka kijana ningekuelewaKuna thread uliileta huku desemba unasema sijui umejifunza nn kutoka kwa mke wa mtu umesahau mkuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ndio huyo ungenyooka kijana ningekuelewaKuna thread uliileta huku desemba unasema sijui umejifunza nn kutoka kwa mke wa mtu umesahau mkuuu
Mali ambazo sio zake unamjua next kin ni nani kama ni yeye mond esma au tiffa au kasha toa zawadi kwa orphans izo Mali kazikuta Au wametafuta pamoja bongo zima inajua, hatakama wanandoa halali Mali za dogo hazi muhusu uyo uncle midevu.Sasa akiachana na Shamte hawatagawana mali?
sijui unaelewa sasa Bora nini jasho lako wale ndugu zako au slay queen asepe nazo akalishe vibenten wengine akuache masikini kama jamaa wa nigeria Abue alivokomeshwa na slay queen, una wengeHii ishu sijui kuhusu mama yake.
Ishu ikija kama mama yake anawatoto wengine mbaya zaidi kama amezaa na wanaume tofauti
siku akitangulia hizo mali kwa vile zipo kwa majina ya mama zitagawanya sawasawa na wadogo zake na kaka zake
mbaya zaidi kuwe kuna mmoja anakiburi kitachimbika sana
Anyway sijajua kuhusu kwao inawezekana yupo pekeake kwa mama yake, kama ni hivyo itakuwa fresh
😃😃 ndiyo kilichobakiUnatafuta ugomvi na WANAWAKE Wewe[emoji38]
Antie hiyo mambo ya hakimi sijui kama inafanya kazi kwa nchi za kiafrica.
Unaandikisha mali zako zote kwa jina la mama,ndugu wanamuua warithi mali[emoji23] au mama anachukua mali anampelekea mchungaji ama atafute ben 10 amlee[emoji23][emoji23]
Wabongo waache kujifariji
Sema sasa bado unamkojoleaga mkuuu au ushaacha dhambi hiyiKumbe ndio huyo ungenyooka kijana ningekuelewa
Kuna mwamba Iringa aliona kashanasa kwenye mtego wa kugawana mali, anataka kumuacha mkewe Ila akiwaza mali pasu kwa pasu ikawa inamuwazisha sana, akamset waifu kuwa wauze mali zote wahamie dar kuanza maisha upya, mke bila kujua akawa analeta hadi wateja. Ile wanamalizia kuuza kijiko jamaa kaenda dar baada ya wiki karudi anaanza kulia pesa zote katapeliwa na haikuchukua muda kamtwanga talaka mkewe
Bibi atakuwa anatoaKwaiyo hta child support hatoi?
Ila we jamaa mmbea Sana 🤣 nipo nae mbona yangu ni clear kabisa huyo dada hana Tena mahusiano na Mumewe in short mahusiano yameshakufa na mpaka Leo yupo kwao na sasa hivi yupo kwenye harakati ya kutaka kupanga so usinifananishe na hao wanaokula wake za watu wakati wanajua kabisa wanaishi kwenye ndoaSema sasa bado unamkojoleaga mkuuu au ushaacha dhambi hiyi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Amejua kutuheshimisha huyu jamaa
Aliwa mama yako alizaa na wanaume tofauti tofauti na hamelewani.sijui unaelewa sasa Bora nini jasho lako wale ndugu zako au slay queen asepe nazo akalishe vibenten wengine akuache masikini kama jamaa wa nigeria Abue alivokomeshwa na slay queen, una wenge
Oh ok mkuuu endelea kumkojolea akuzalie watoto huyo 😁😁😁Ila we jamaa mmbea Sana 🤣 nipo nae mbona yangu ni clear kabisa huyo dada hana Tena mahusiano na Mumewe in short mahusiano yameshakufa na mpaka Leo yupo kwao na sasa hivi yupo kwenye harakati ya kutaka kupanga so usinifananishe na hao wanaokula wake za watu wakati wanajua kabisa wanaishi kwenye ndoa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu jamaa ni bingwa ajengewe mnara!!
Manzi yupo full package ndio maana sina hata demu mwingine ukiachana na yeye kila idara yupo poa mzuri wa sura haitaji make up ndio awe mzuri macho yake,tabasamu lake inanivutia, ana tako kubwa, kifuani kajaaliwa. Ana upendo wa dhati huyu manzi ile mbaya hata nikiwa sina hela ananivumilia na wala aninunii muelewa,ataniomba hela pale tu akiwa na uhitaji Tena inaweza kutokea mara 2 au 3 kwa mwezi ni aina ya manzi ninajikuta na muhudumia hata bila kuniomba hela na moyo wangu unabaki unafurahaOh ok mkuuu endelea kumkojolea akuzalie watoto huyo 😁😁😁
Ila ana matako sasa au ni,,,,,,,, mifupaa tu
Kongole kwako mkuuu 👏👏👏 usiliache zari hiloManzi yupo full package ndio maana sina hata demu mwingine ukiachana na yeye kila idara yupo poa mzuri wa sura haitaji make up ndio awe mzuri macho yake,tabasamu lake inanivutia, ana tako kubwa, kifuani kajaaliwa. Ana upendo wa dhati huyu manzi ile mbaya hata nikiwa sina hela ananivumilia na wala aninunii muelewa,ataniomba hela pale tu akiwa na uhitaji Tena inaweza kutokea mara 2 au 3 kwa mwezi ni aina ya manzi ninajikuta na muhudumia hata bila kuniomba hela na moyo wangu unabaki unafuraha
Samatta ameoa.Muongezee mbwana samata