Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Nimeshangaa sana.

JPM aliteua Mawaziri wawilitu toka Mkoa wake Geita. Mh Biteko na Mhe Kalemani. Lakini ilikua Nongwa maneno yalisemwa kua anapendelea kwao.

Leo Samia ambaye iko wazi ni timu ya Kikwete kateua Mawaziri watano toka Mkoa wa pwani kwao Bw Prof Kikwete na Mawaziri wengine 3 toka Mkoa jirani wa Tanga sioni kelele yoyote.

Binafsi sijaelewa shida ni Nini? Ni chuki dhidi ya Wasukuma ama dhidi ya Magufuli ama dhidi ya Kanda ya Ziwa nzima.

Asante.
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Jadili issues usijadili watu.
 
Mkoa mzima wa Arusha kuna naibu waziri mmoja tu;
Mkoa mzima wa Manyara kuna naibu waziri mmoja tu.
Hivi mkoa wa Morogoro kuna naibu waziri hata mmoja?

Mkoa wa Tanga kuna mawaziri watatu.

Mkoa wa Pwani ndio kama alivyoonyesha mleta mada.

Hivi tunapeleka wapi nchi katika pande hizo za kisiasa?
Badala ya kurekebisha makosa tunaendeleza kwa kulipisa kisasi?
Tunataka kuwaachia watoto na wajukuu nchi ya namna gani?
Wote wakiwa Mawaziri, Wabunge watafanya kazi gani?
 
Makundi ya CCM safari hii yameibuka mapema, na yako wazi sio siri.
Ndicho wanachopenda ^war-who-knee^! Hawawezi hata siku moja kukaa wala kufurahia amani, utulivu na umoja. Mtaji wao mkubwa ni mfarakano, migongano, ugomvi, na usaliti.

#^Car-taaWar-who-knee!^
 
Nimeshangaa sana.

JPM aliteua Mawaziri wawilitu toka Mkoa wake Geita. Mh Biteko na Mhe Kalemani. Lakini ilikua Nongwa maneno yalisemwa kua anapendelea kwao.

Leo Samia ambaye iko wazi ni timu ya Kikwete kateua Mawaziri watano toka Mkoa wa pwani kwao Bw Prof Kikwete na Mawaziri wengine 3 toka Mkoa jirani wa Tanga sioni kelele yoyote.

Binafsi sijaelewa shida ni Nini? Ni chuki dhidi ya Wasukuma ama dhidi ya Magufuli ama dhidi ya Kanda ya Ziwa nzima.

Asante.
Kwani Kikwete ni Rais?
 
Nimeshangaa sana.

JPM aliteua Mawaziri wawilitu toka Mkoa wake Geita. Mh Biteko na Mhe Kalemani. Lakini ilikua Nongwa maneno yalisemwa kua anapendelea kwao.

Leo Samia ambaye iko wazi ni timu ya Kikwete kateua Mawaziri watano toka Mkoa wa pwani kwao Bw Prof Kikwete na Mawaziri wengine 3 toka Mkoa jirani wa Tanga sioni kelele yoyote.

Binafsi sijaelewa shida ni Nini? Ni chuki dhidi ya Wasukuma ama dhidi ya Magufuli ama dhidi ya Kanda ya Ziwa nzima.

Asante.
Zile zilikuwa ni propaganda dhidi ya Magufuli, na bado zinaendelea sababu pamoja na kwamba ni marehemu kivuli chake kinawatisha. Ndiyo mana walipoona kumpaka matope ya kupendelea mkoa hakuna mashiko, wakajaribu matope ya kabila nayo yakakosa uhalisia, wakaamua kutumia shutuma ya ajabu- kupendelea kanda!
 
2020 kulikuwa na waislamu 4 tu kati 23 na hakukuwa na waziri wala naibu toka Zanzibar watu walipohoji waliambiwa Rais ateuwi kwa kuangalia dini wa kabila lakini sasa mnaanza maneno maneno.
Acha uongo lete list nzima tuone kama hutaaibika kwa uongo wako.
 
Nimeshangaa sana.

JPM aliteua Mawaziri wawilitu toka Mkoa wake Geita. Mh Biteko na Mhe Kalemani. Lakini ilikua Nongwa maneno yalisemwa kua anapendelea kwao.

Leo Samia ambaye iko wazi ni timu ya Kikwete kateua Mawaziri watano toka Mkoa wa pwani kwao Bw Prof Kikwete na Mawaziri wengine 3 toka Mkoa jirani wa Tanga sioni kelele yoyote.

Binafsi sijaelewa shida ni Nini? Ni chuki dhidi ya Wasukuma ama dhidi ya Magufuli ama dhidi ya Kanda ya Ziwa nzima.

Asante.
Ukiangalia mchango wa kila mkoa kwenye pato la Taifa Pwani haimo ila ina mawaziri 5.
1. Dar es Salaam = 23,896,520 (17.1%)
2. Mwanza = 10,285,442 (7.4%)
3. Mbeya = 7,849,917 (5.6%)
4. Shinyanga incl.Simiyu = 7,175,982 (5.1%)
5. Morogoro = 6,716,296 (4.8%)
6. Arusha = 6,562,356 (4.7%)
7. Tanga = 6,548,355 (4.7%)
8. Kilimanjaro = 6,298,586 (4.5%)
9. Geita = 6,211,376 (4.4%)
10. Ruvuma = 5,317,073 (3.8%

Kanda ya Ziwa ina mikoa 3 kwenye top 10 lakini mawaziri kamili 2 ama 3, pwani ina mawaziri 5 wakati hata top 15 haimo.

Watu wa kanda ya ziwa ni kumkataa huyu mama asubuhi.
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Mtoa mada kajitafakari. Kwa mwenye akili kishakudharau tayari.
 
Back
Top Bottom