Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Wangekua Kanda ya Ziwa Mkoa mmoja Mawaziri wawili kungenuka hapa. Mfano Mkoa wa Mara hakuna Waziri tangu 2020 siyo issue. Mkoa wa simiyu 1 Shy hakuna Kuna naibu, Mwanza wamepata Waziri kamili awamu hii 1. Mkoa wa Geita 1 Waziri.

Pwani 5
Tanga 3.

Assalamualaikum
Harafu bado kuna watu wanafurahia eti kuondolewa kwa kundi sijui wao wanaita sukuma Gang.
Wakati kwa sasa uteuzi unajikita pwani pwani ila wametulia tu
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Kwani kijiji cha Msoga kiko mkoa gani?
 
Ukiangalia mchango wa kila mkoa kwenye pato la Taifa Pwani haimo ila ina mawaziri 5.
1. Dar es Salaam = 23,896,520 (17.1%)
2. Mwanza = 10,285,442 (7.4%)
3. Mbeya = 7,849,917 (5.6%)
4. Shinyanga incl.Simiyu = 7,175,982 (5.1%)
5. Morogoro = 6,716,296 (4.8%)
6. Arusha = 6,562,356 (4.7%)
7. Tanga = 6,548,355 (4.7%)
8. Kilimanjaro = 6,298,586 (4.5%)
9. Geita = 6,211,376 (4.4%)
10. Ruvuma = 5,317,073 (3.8%

Kanda ya Ziwa ina mikoa 3 kwenye top 10 lakini mawaziri kamili 2 ama 3, pwani ina mawaziri 5 wakati hata top 15 haimo.

Watu wa kanda ya ziwa ni kumkataa huyu mama asubuhi.
Huyu mama ni pigo kwa taifa
 
Hapa haizungumziwi kanda bali ni mkoa mmoja wa Pwani mawaziri watano. Hiyo ndio hoja ya mtoa uzi.
Nimemuelewa mtoa mada na ndio maana nikasema kwa mkoa mmoja umetoa mawaziri 5 na hawazungumzi ila ingekuwa kanda ya ziwa labda tuseme Mwanza itoe hata mawaziri wa 3 hapo kelele zingekuwa nyingi sana.
 
Nimemuelewa mtoa mada na ndio maana nikasema kwa mkoa mmoja umetoa mawaziri 5 na hawazungumzi ila ingekuwa kanda ya ziwa labda tuseme Mwanza itoe hata mawaziri wa 3 hapo kelele zingekuwa nyingi sana.
Ww. Watu wangeloga Hadi anga. Mwanza haikua na Waziri kamili walisema. Note enzi za JPM Mwanza ilikua na Naibu tu Mama Dkt Mabula ila ilikua shida.
Vipi Mwanza iwe na Mawaziri 5 haha du hata Dua zingesomwa kabisa.
 
Pwani oyeee

1. Dr. Jaffo - kisarawe
2. Mchengelwa - Rufiji
3. Ridhiwani - Chalinze
4. Ulega - Mkuranga
5.kipanga - Mafia

Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?

Rais Samia hapa washauri wamekubambika.
Kaa kwa kutulia......hayo mambo unayasema leo.....hukuyaona huko nyuma?Kawaida kila kiongozi anafanya kazi kwa ukaribu na watu anaowajua kwanza....ikifika zamu yako na ww teua ndg zako na muda wako pia utaisha watakuja wengine......nyie si ndio mnasema watu wa Pwani hawajasoma kazi kucheza ngoma?sasa tulia hiyo ndo ngoma inachezwa sasa.....
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Kwa nini usiseme mawziri wawili (2) na manaibu watatu(3), tunatia chumvi sana watanzania!
 
Ww. Watu wangeloga Hadi anga. Mwanza haikua na Waziri kamili walisema. Note enzi za JPM Mwanza ilikua na Naibu tu Mama Dkt Mabula ila ilikua shida.
Vipi Mwanza iwe na Mawaziri 5 haha du hata Dua zingesomwa kabisa.
Hapo ndio Watu hujisahau na kuanza kukosoa upande mmoja wakiamini ni kundi fulani ila kwao wanajisahau kuzungumzia.
 
Kaa kwa kutulia......hayo mambo unayasema leo.....hukuyaona huko nyuma?Kawaida kila kiongozi anafanya kazi kwa ukaribu na watu anaowajua kwanza....ikifika zamu yako na ww teua ndg zako na muda wako pia utaisha watakuja wengine......nyie si ndio mnasema watu wa Pwani hawajasoma kazi kucheza ngoma?sasa tulia hiyo ndo ngoma inachezwa sasa.....
Waambie hayo watoto wenzio!
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Msimlaumu sana kwani pengine hiyo orodha kaandikiwa kazi yake ilikuwa kutangaza tu. #Timu Msoga
 
Mwenzio anaongelea mkoa mmoja wewe unaongelea kanda nzima. Una akili kweli wewe? Haya basi mkoa wa Mara unamepata Naibu Waziri Sagini basi.
Hebu tupe idadi ya kanda ya ziwa
Kanda ya kaskazini.
Kanda ya nyanda za juu kusini...

Hizi siasa za kifala, watoto wetu watakuja kutudharau sana
 
Back
Top Bottom