Watu wa pwani hawana roho mbaya kama wasukuma1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Mbona umemsahau Aweso?Pwani oyeee
1. Dr. Jaffo - kisarawe
2. Mchengelwa - Rufiji
3. Ridhiwani - Chalinze
4. Ulega - Mkuranga
5.kipanga - Mafia
Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?
Rais Samia hapa washauri wamekubambika.
Nawewe tumia akili kidogo basi yaani hujui Geita,Mwanza,Simiyu na Shinyanga ni mikoa tofauti?Enzi zile sasa
1. Bitteko-home kabisa
2. Kalemani- Wa sebuleni
3. Mabula- wa nyumbani
Achana na hao wa Shinyanga sijataka kuwajumuisha.
Usisahau Tanga nao ni kwani tuPwani oyeee
1. Dr. Jaffo - kisarawe
2. Mchengelwa - Rufiji
3. Ridhiwani - Chalinze
4. Ulega - Mkuranga
5.kipanga - Mafia
Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?
Rais Samia hapa washauri wamekubambika.
Mkuu fluid
Mimi nadhani kama hoja yako ingekuwa kuna mteule asiyefaa. Vinginevyo naona kuna viashiria vya uchochezi maana badaa ya ya hapo utaenda kuchambua makabila yao na dini zaoMambo mengine ni common sense na kuweka Utaifa mbele.
Huhitaji katiba mpya ili ku exercise common sense.
Kwani Prof Adolf Mkenda anatoka mkoa upi?Mikoa ya Rukwa na Morogoro haijapata waziri wala naibu hata mmoja. Kama yupo naomba nisahihishwe.
Unachukuaje mawaziri 3 kutoka mkoa wa Tanga, mawaziri na manaibu kutoka majimbo karibia yote ya mkoa wa Pwani
Lkn mikoa ya Morogoro na Rukwa haina hata naibu waziri?
Hilo baraza lina sura ya kitaifa kweli?
Ukifuata hivyo basi kanda ya ziwa yenye mikoa 6 ingekuwa na mawaziri 12.Tuna mikoa 26!na wizara zaidi ya 30,na nafasi manaibu zaidi ya 30,kila mkoa ungeweza kuwa na nafasi za uwaziri kuanzia mbili.mama kachemka
tulisema sana mpaka wakalaaniwa!Mmeanza kutafuta chochoko,
Enzi zile mbona Baraza lilijaa wasukuma na hatukusema[emoji4]
Mkoa wa KilimanjaroMasopakyindi masopakyindi huu utelezi umetokana na Ubinafsi wa kima kundi, wamesahau kwamba Baraza la mawaziri ni zaidi ya hayo makundi yao, wewe umesema mikoa ya pwani sijajua kwanini Tanga hukuiweka, hizi siasa za maccm zitatupeleka pabaya sana na Huyu mama Itakuja kumgharimu siku moja
Kwani Prof Adolf Mkenda anatoka mkoa upi?
Mkuu viongizi wetu wameanza kusahau hilo.Hakuna mabumunda kwenye wabunge wetu. Haifai kutokuwa na regional representation kwenye baraza.
Huo ndio ulikuwa mila, desturi na utamaduni wetu toka uhuru.
Msipuuzie kwa kupendeleana.
Mkuchika ni wa Mtwara
Awamu ya tano kuna mawaziri 5 walitoka mkoa mmoja...?!Mkuu viongizi wetu wameanza kusahau hilo.
Madudu yalianza Awamu ya 5.
Sasa kundi lililoingia linaona ni zamu yao.
Tusilee U Salvar Kir na Machar wa South Sudan
Kipindi kile rais alikuwa msukuma ndio maana tulisema, kwani sasa hivi Rais ni kutoka Msoga?Mmeanza kutafuta chochoko,
Enzi zile mbona Baraza lilijaa wasukuma na hatukusema[emoji4]
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?