Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Onyesha basi hiyo National representation imekosekana wapi? Tuna mikoa 31, hebu tuonyeshe mapungufu yapo wapi?
Hivyo unamaanisha mikoa mingine kama Mara, Shy haina watu wa kuwa Mawaziri ila pwani na Tanga ndiyo wanasifa
 
Baraza la Mawaziri la Pwani na Zanzibar.
 
Enzi zile sasa
1. Bitteko-home kabisa
2. Kalemani- Wa sebuleni
3. Mabula- wa nyumbani
Achana na hao wa Shinyanga sijataka kuwajumuisha.
Hao wote ni mikoa tofauti. Wasukuma kuwa 4 Mawaziri ni sawa Sukumaland inamikoa mitano so ni eneo kubwa na watu wengi.
 
Hivyo unamaanisha mikoa mingine kama Mara, Shy haina watu wa kuwa Mawaziri ila pwani na Tanga ndiyo wanasifa
Mara hakuna Waziri? Sagini anatoka Ureno? Shinyanga; Katambi ni wa Ruvuma?
 
Hahahah!!!!dawa chungu lkn mtainywa tu,wakat wa yule jambazi wenu hamkuyaona co???
 
Hakuna palipo andikwa ulazima wa kila mkoa kutoa waziri.

Mwacheni mkuu wa nchi afanye anavyo jisikia maana tukisema tunahitaji katiba mpya mnaanza kumbwela mbweela
Kuna wakati nawaonea hiruma ccm, ila ukigusa katiba mpya, nasema, ACHA WAISOME NAMBA, maana wanadhani katiba wao haiwahusu.
 
2025 nani anafika? Marehemu wanaotembea.
Ishi maisha ya ucha Mungu leo kesho si yako. Hukumu ipo
 
Kuna wakati nawaonea hiruma ccm, ila ukigusa katiba mpya, nasema, ACHA WAISOME NAMBA, maana wanadhani katiba wao haiwahusu.
Huo ndiyo ujinga uliowaingia akilini mwao.

Wanakuwa kama kuku au bata yaani hawachelewi kusahu
 
Kiufupi watu wa pwani wanaupiga mwingi na ndio wenye chama cha CCM. Mzanaki mwenzangu aliwekwa tu pale.

Zama zinabadilika sana kutoka Sukuma Gang mpaka Pwani Gang.
 
Umesahau na jirani zao Tanga. Kuna zaidi ya watatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…