Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
π€£πππ€£ππππ€£ππππ€£πππ π πSinunui huduma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π€£πππ€£ππππ€£ππππ€£πππ π πSinunui huduma
[emoji1787][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji16][emoji23][emoji16][emoji1787][emoji16][emoji23][emoji16][emoji1787][emoji16][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]
Kipi kinabadilika ukijichekesha
Abdallah ulega sio juma1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
ππππππUtoto unakusumbua
Wanyambala hawafanyi kazi na maboya! Wanajitambua.Ulitaka na waziri kutoka Mbeya?
Kweli?Wanyambala hawafanyi kazi na maboya! Wanajitambua.
Huamini?Kweli?
Arusha kwa sad HV hawana wasomo was kuweleweka sad kina gamb unawapa uwazir au unaibu au kina pallanyo ,Fred lowasa ,Noel limbris amabaye awez ata kuchangia hoja hpn mpk wapeleke wasom kwa kwrlMkoa mzima wa Arusha kuna naibu waziri mmoja tu;
Mkoa mzima wa Manyara kuna naibu waziri mmoja tu.
Hivi mkoa wa Morogoro kuna naibu waziri hata mmoja?
Mkoa wa Tanga kuna mawaziri watatu.
Mkoa wa Pwani ndio kama alivyoonyesha mleta mada.
Hivi tunapeleka wapi nchi katika pande hizo za kisiasa?
Badala ya kurekebisha makosa tunaendeleza kwa kulipisa kisasi?
Tunataka kuwaachia watoto na wajukuu nchi ya namna gani?
...sana. hasa watakapokuja kujua nchi inaendeshwa na familia 3: mwinyi, makamba, kikwetewatoto wetu watakuja kutudharau sana
Wacha weeee!Huamini?
Ukweli haujifichi! Hao watu sio wa mchezo.Wacha weeee!
Sisi hatujali idadi tunaangalia performance wakifeli 2025 tunawapa tlp1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?