Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #81
hongeraNilioa tarehe 20/9 mtoto akazaliwa 22/6 mwaka uliofuata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hongeraNilioa tarehe 20/9 mtoto akazaliwa 22/6 mwaka uliofuata
Take heart.. & read Isaiah 60:22Kipimo kinauma hiki...
Nina miaka 4 ya ndoa yangu, sijapata mtoto, stress nilipitia ila uzuri mume na wakwe na wifi zangu wananitia moyo.
Mwanzo nilijipa stress sana, ila zikapoa ila Kuna wakati zinarudi...
Hakika kama kuna kitu nilipima nikaumwa na kulazwa emergency ni hiki kipimo cha mirija yaani balaa lake ni hatare...
Jamani usiombe, hadi damu inatoka, alafu majibu yanakuja yanasema upo sawa.
Mungu unikumbuke na wote ambao wanapitia hili la kuchelewa kupata mtoto.
Hawasemi kama kinauma.yaani kiliuma me nikawaambia niacheni sitaki tena.Mbona hawakuniambia kama nilikuwa na uchafu, waliniambia kipimo kinaonyesha huna tatizo...
Ila Huwa hawasemi kile kipimo kinauma, maana baada ya kulazwa emergency, nikasikia wakisema mbona hamuwaambii Hawa wanawake kuwa kipimo kinauma...
Kuna wanandoa niliwaona wakiparamia mti wa mlonge kuchuma majani na mbegu bila shaka kazi ni hii.tafuna mbegu za mlonge na mkeo nae azitafune, wakat huo huo mkeo achemshe maganda na majani yake awe anakunywa kama chai, mm ilinipa matokeo mda mfupi baada ya kutaabika kwamwaka mzima
Jamani waombeee tu.kila watu na mitihani yaoKuna wanandoa niliwaona wakiparamia mti wa mlonge kuchuma majani ma mbegu bila shaka kazi ni hii.
Mungu akubariki DonatilaKipimo kinauma hiki...
Nina miaka 4 ya ndoa yangu, sijapata mtoto, stress nilipitia ila uzuri mume na wakwe na wifi zangu wananitia moyo.
Mwanzo nilijipa stress sana, ila zikapoa ila Kuna wakati zinarudi...
Hakika kama kuna kitu nilipima nikaumwa na kulazwa emergency ni hiki kipimo cha mirija yaani balaa lake ni hatare...
Jamani usiombe, hadi damu inatoka, alafu majibu yanakuja yanasema upo sawa.
Mungu unikumbuke na wote ambao wanapitia hili la kuchelewa kupata mtoto.
Huyo uliyeoa naye alipigwa mimba za nje na wenzako lkn akawa anazichoropoa. Kwa Sasa mayai yameisha na mfuko wa uzazi umeharibika, hatoweza kuzaa tena. Malipo ni hapa hapa.mimba ya nje nilipiga mzigo mara moja mtu akadaka mimba
Mungu awajaalie hitaji laoJamani waombeee tu.kila watu na mitihani yao
Muogope Mungu wewe hata kama uko nyuma ya keybordHuyo uliyeoa na alipogwa mimba za nje na wenzako lkn akawa anazivhiropoa. Kwa Sasa mayai yameisha na mfuko wa uzazi umeharibika, hatoweza kuzaa tena. Malipo ni hapa hapa.
Sawa mkuu,yy na mungu wake ndo wanajuaHuyo uliyeoa na alipogwa mimba za nje na wenzako lkn akawa anazivhiropoa. Kwa Sasa mayai yameisha na mfuko wa uzazi umeharibika, hatoweza kuzaa tena. Malipo ni hapa hapa.
Aisee!! yaan anaongea kama anamjua bimadam wana ujasiriMuogope Mungu wewe hata kama uko nyuma ya keybord
Yeye kajisifia kuwa kabla ya kuoa alikuwa anapiga mimba za nje kwa siku moja. Sasa hao aliowapiga mimba za nje kwann hakuwaoa? Anajisifia kwa uharibifu??Muogope Mungu wewe hata kama uko nyuma ya keybord
😀😀😀😀😀😀😀😀 mm tayari washenga wameniandama wanataka mjukuuMiaka 2; ndugu yangu mmoja akajitoa ufahamu kuja kuniuliza...mwanangu kuna shida tukusaidie?
Mbona unaonekana una mwili mkubwa sana!Yeye kajisifia kuwa kabla ya kuoa alikuwa anapiga mimba za nje kwa siku moja. Sasa hao aliowapiga mimba za nje kwann hakuwaoa? Anajisifia kwa uharibifu??
Yaan😀😀😀😀😀😀😀😀 mm tayari washenga wameniandama wanataka mjukuu
Baada ya mahangaiko na mke wangu tulipima hiki kipimo, aisee aliumia sana. Hatujakata tamaa mwaka wa 5 huu tunahangaika.Kipimo kinauma hiki...
Nina miaka 4 ya ndoa yangu, sijapata mtoto, stress nilipitia ila uzuri mume na wakwe na wifi zangu wananitia moyo.
Mwanzo nilijipa stress sana, ila zikapoa ila Kuna wakati zinarudi...
Hakika kama kuna kitu nilipima nikaumwa na kulazwa emergency ni hiki kipimo cha mirija yaani balaa lake ni hatare...
Jamani usiombe, hadi damu inatoka, alafu majibu yanakuja yanasema upo sawa.
Mungu unikumbuke na wote ambao wanapitia hili la kuchelewa kupata mtoto.
Baada ya hi icho kipimo mmecheki mayai?Baada ya mahangaiko na mke wangu tulipima hiki kipimo, aisee aliumia sana. Hatujakata tamaa mwaka wa 5 huu tunahangaika.
Mungu atukumbuke 🙏🙏🙏🙏
Kwa kweli nahitaji msaada katika hili. Nimeshautiwa na ndugu nirudi kijijini kwetu nilikozaliwa nikashtaki sijui kwa mababu na mizimuYaan
Mayai yapo na yanapevuka. Tumefanya hadi procedure inaitwa IUI lakini hatukufanikiwa.Baada ya hi icho kipimo mmecheki mayai?
Hiyo tunaita Fecundability! Huyo mama hayupo fecundWakuu nina miezi miwili bila bila niko kwa ndoa. Niko na mashaka.