Mnaomshambulia RC wa Arusha, mnafurahia kiongozi wetu kutukanwa?

Sawa,

Ngoja nipate chochote tumboni,

Nakurudia.
 
Sawa,

Ngoja nipate chochote tumboni,

Nakurudia.
Wewe nawe pia ni mbishi.

Inaonekana unapenda ubishi kuliko kuweka kitu tumboni.

Hata unapokwenda kuweka kitu tumboni, unaweka nukta kwenye ubishi na kuukamia kwa kusema "nakurudia" 🤣🤣🤣.
 
Kuchorwa katuni ni tusi?.
Kamahuwezi kuhimili hata hilo basi usiwe kiongozi.
Btw, tusi ni subjective.
Ingekuwa amefanya Mwananchi sawa, Si mtu uliyemteua
 
Madam President ana machawa kibao Sasa kwanini Wasiwe wanayajibu haya matusi kwa Data
 
👏💐
 
Madam President ana machawa kibao Sasa kwanini Wasiwe wanayajibu haya matusi kwa Data
Matusi hayajibiwi Kwa data,

Kinachotakiwa, ni kutenganisha matusi pembeni, HOJA pembeni, Kisha unajibu HOJA na kupuuza matusi.
 
We ni mbishi sana, kama tu watu wa chigoma[emoji3]
Nimefuatilia mjadala hapo juu, Wewe ndio kichwa maji.

Una ambiwa kama tu katiba iliyopo Magufuli aliweza kwenda kinyume nayo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa kumwajibisha, Je unadhani ikija katiba mpya ndio itafatwa?

Kama katiba hii iliyopo haifuatwi, Je unadhani viongozi hawahawa watafuata hiyo katiba mpya?

Hivi unafikiri sawasawa kweli?
 
Mimi Niko sahihi,

Nenda hapo Kenya Pana Katiba mpya inayowalazimisha viongozi waifuate, Si kuwabembeleza kuifuata Kwa hiari na utashi wao.
 
Katiba mpya haita mpa madalaka ya kuteua majaji na wengine wote wenye uwezo wa kusimamia Sheria kuhakikisha haipindishwi.
 
Katiba mpya haita mpa madalaka ya kuteua majaji na wengine wote wenye uwezo wa kusimamia Sheria kuhakikisha haipindishwi.
Wanajitoa ufahamu,

Kibri Cha kutofuata Katiba linatokana na Kinga na mamlaka ya juu na kutoshtakiwa.

Rais ni sehemu ya bunge, bunge linaanzaje mchakato wa kupeleka HOJA ya kutokuwa na Imani naye?
 
Kwa hiyo na wewe unaamini kuna watendaji na washauri wa karibu wa Rais (Mawaziri) wanamtukana Bosi wao! Kama ni kweli basi inawezekana huyo Bosi wao atakuwa ana mapungufu mengi ya kiuongozi bila shaka.
Tamaa tu hakuna cha mapungufu mengi.
 
Katiba mpya haita mpa madalaka ya kuteua majaji na wengine wote wenye uwezo wa kusimamia Sheria kuhakikisha haipindishwi.
Katiba iliyopo haimruhusu Raisi kufunguia mikutano ya kisiasa.

Lakini Magufuli aliweza kwenda kinyume na katiba hii iliyopo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa kumwajibisha.

Sasa kama katiba hii tu iliyopo haifuatwi na inapindishwa, Je unadhani hiyo katiba mpya itafatwa?
 
Asingekuwa na Kinga ya kutoshtakiwa,

Asingediriki kuzuia mikutano ya hadhara.

Mamlaka ya Rais makubwa, ndiyo chanzo Cha matatizo yetu nchini.
 
Matusi hayajibiwi Kwa data,

Kinachotakiwa, ni kutenganisha matusi pembeni, HOJA pembeni, Kisha unajibu HOJA na kupuuza matusi.
Kinachosanabisha matusi ni hali halisi ya yanayoendelea huku mtaani. Kama mambo yangekuwa yapo sawa haya matusi yasingethiri halafu kumbuka haya matusi yapo toka enzi za Mitume. Ni kawaida sana na hauwezi ukazuia mihemko ya watu.wacha tuone hao watu wakitajwa kama matusi yatakoma
 
Unaanzaje kumchukulia hatua au kumuwajibisha aliyekufinyanga akakuweka ulipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…