Mnaotumia Masaa Mengi Kujadili Mpira, Mnapata Dola Ngapi kwa Siku?

Kwa hiyo kama issue dola basi kwenye dini kuna hela.
Mi sijasema kwenye dini kuna hela, nimeshauri kwamba heri kutumia muda mwingi kufikiria njia za kutuongezea kipato kama vile kujifunza kazi au ujuzi mpya. Nimeshauri pia kwamba afadhali kujadili mambo ya rohoni na kujizoeza utauwa ambao una faida ya uzima wa sasa na ule ujao.
 
Samahani , umeolewa?
 
Unapata Dola au ukipata Dola unazipata ili ufanye nini ? Kama Dola zake anazitumia kuangalia na kusikiliza majadiliano ya mpira huoni kwamba kujadili bure kwake yeye hio ni shortcut ?!!!

 
Iyo siku moja kila wiki zidisha mara 4 halafu zidisha mara 12. Kwa mwaka utaona umetumia siku 48. Ni kama mwezi mmoja na nusu unajadili mpira tu. Watu wa bodaboda wanaojadili mpira saa ingine wanapoteza wateja kwa sababu mabishano yakiwa makali hakuna anayechangamkia wateja.
 
Tuwaombee watoke katika aina hii ya ulevi uliowafunga akili na ufahamu wa rohoni.
 
Hapana, nakupinga.
Itafika wakati mtasema watu wasipumzike mana wanapoteza muda.
 
Anayepata dola na kuzitumia kuangalia mpira, pembeni ya kochi lake hapakosekani juice au karanga au supu. Huyu mwingine anajadili bila kutia chochote kinywani.
 
Hapana, nakupinga.
Itafika wakati mtasema watu wasipumzike mana wanapoteza muda.
Wenzako wanaozitafuta dola wakipumzika wanaenda kwenye hoteli za 5 stars Dubai. Hawa wenzetu watabishana wee, wanaondoka vichwa vinauma hata pesa ya kununua panadol hawana.
 
Sisi tunaopenda kujadili Mpira kila Siku hapa JamiiForums umeshatuona hata Siku moja tukija Kwako kukubishia Hodi kukuomba Hela ya Kula?

Na nani kakudanganya kuwa Wote tunaojadili Mpira kutwa hapa JamiiForums hatuna Hela, Kazi wala Hadhi yoyote?

Hivi hapa JamiiForums tunajiwasilisha kwa Uhalisia wetu kamili wa nani ni GENTAMYCINE huko aliko au ni kwa Fake IDs zetu tu?

Kwa taarifa yako pamoja na Wapumbavu wengine wenye mtizamo Hasi na wa Kishamba kama wako ni kwamba kuna Watu unaowaita wajadili Mpira kila Siku hapa JamiiForums wana Maisha mazuri, Kazi nzuri, Hadhi kubwa na Pesa za kumzidi Anayekukaza.

Na wanaweza hata Kukukaza / kukubandua nawe pia na Kukuhonga Fedha ambazo uliyenae au ulionao hawajawahi kukupa.

Mnakera mno nyie Wapumbavu na kutuona Wajadili Mpira hapa JamiiForums ni Watu tu wa kawaida na wasio na mbele wala nyuma. Kwahiyo ulipenda au ukitaka labda tuwe Kutwa tunajadili tu jinsi Unavyokazwa / Unavyoshindiliwa nao ndiyo ufurahi? Hovyo kabisa.....!!

Nimemaliza.
 
Pole sana. Wenye hela hawana kelele nyingi. Saa hizi wamepumzika zao Dubai.
 
Maofisin na vijiweni full kelele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…