Monalisa apata presha mtoto wake aliye Ukraine kimasomo, vita ya Urusi yamvuruga mama mtu

Daaa yan uzi wajambo muimu kama hili wewe unachanganya nastori yako yakudanga
 
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji16]ulivyo mstaarabu ukawazawadia hahaah!saafi kabisaa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Wabongo tuna PhD za unafiki acha kabisa,, hebu soma comments nyingi uone watu wanavyofurahia maumivu ya monalisa na bintiye.

Halafu siku akifanikiwa hao hao utawaona watakavyoanza kulaani oooh tulimsaidia kupaza sauti ili mwanae apate msaaada mara tulimuombea,,, utumbo utumbo tu mxiiiieeeew
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka eti sekeseke la kimaisha kisha mwanaume mwenye uchumi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cheka vizuri tena kwa kujiachia, usijibane bane au ngoja nikusaidieπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kipindi marekani wanaondoa raia wao,alitakiwa amuondoe binti yake.

Anataka publicity tu huyo. Kwani nani aliye mpeleka huyo mtoto kusomea ACCOUNTANCY huko Ukraine?

Aliyempeleka ndio ana wajibu wa kumrudisha ikibidi!! Uhasibu gani huko Ukraine ambao haufundukshiki hapa Bongo?
 
Ila kwa sababu ya kutokuwa na Desturi ya kupenda watu wake ndo sababu haikuchukua hatua zozote kuokoa watu wake.

Serikali haina uwezo wa kushuhurikia matatizo ya wananchi wake waliozagaa Dunia nzima huku ikiwajibika kujenga matundu ya vyoo vya wanafunzi wake hapa nchini!

Hao waliowapeleka wanafunzi huko nje kusoma ndio hao hao watakaowajibika kuwahudumia!

Awafuate Global Education Link kama mnasema ndio walimpa kwenda kusomea ACCOUNTANCY!!!
 
Mwanaume mwenye uchumi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…