[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea bhana lolHumu Kuna comments za chuki....watanzania wana wivu asee!
Mtu asitoboe, atakoma siku akipata tatizo!
Kuna hadi wanaowish huyo mtoto apotee kabisa waseme si tulikuambia we monalisa, kiko wapi sasa[emoji26][emoji26] so sad
Basi atuache asituchoshe tuna suala la umeme apambane na hali yakeHela anayo sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cc mbna wee ni noumaaah hivi uwiiiiihBasi atuache asituchoshe tuna suala la umeme apambane na hali yake
Mkuu umenikumbusha mbali hii movie si mchezoAongee vizuri na sisi, mm na vijana wangu tukafanye extraction behind the enemy lines
π€£π€£π€£π€£Atupisheee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cc mbna wee ni noumaaah hivi uwiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Atupisheee
Acha Kabisaa best mmeshangaa sana ujue!!yaani kuna watu wana mioyo ya kichawi sanaHumu Kuna comments za chuki....watanzania wana wivu asee!
Mtu asitoboe, atakoma siku akipata tatizo!
Kuna hadi wanaowish huyo mtoto apotee kabisa waseme si tulikuambia we monalisa, kiko wapi sasa[emoji26][emoji26] so sad
Daaa yan uzi wajambo muimu kama hili wewe unachanganya nastori yako yakudangaNa ukitoboa ndo wa Kwanza kuomba omba,,
Nilipataga sekeseke la kimaisha mwaka juzi bhana karibu watu wote wa karibu hawakutaka hata kunijua, walivyosikia nimepata mwanaume mwenye uchumi bomba baadhi yao walianza kujipendekeza na nilivyo mstaarabu niliwazawadia block wote sitaki mazoea
πππWabongo tuna PhD za unafiki acha kabisa,, hebu soma comments nyingi uone watu wanavyofurahia maumivu ya monalisa na bintiye.[emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji16]ulivyo mstaarabu ukawazawadia hahaah!saafi kabisaa
Kudanga kipaji sio Kila mtu ako nacho etiDaaa yan uzi wajambo muimu kama hili wewe unachanganya nastori yako yakudanga
Cheka vizuri tena kwa kujiachia, usijibane bane au ngoja nikusaidieπππππππππππππππππππππππππππππππππππ[emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka eti sekeseke la kimaisha kisha mwanaume mwenye uchumi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakazia yaanKudanga kipaji sio Kila mtu ako nacho eti
πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakazia yaan
Kipindi marekani wanaondoa raia wao,alitakiwa amuondoe binti yake.
Ila kwa sababu ya kutokuwa na Desturi ya kupenda watu wake ndo sababu haikuchukua hatua zozote kuokoa watu wake.
Mwanaume mwenye uchumi ?Na ukitoboa ndo wa Kwanza kuomba omba,,
Nilipataga sekeseke la kimaisha mwaka juzi bhana karibu watu wote wa karibu hawakutaka hata kunijua, walivyosikia nimepata mwanaume mwenye uchumi bomba baadhi yao walianza kujipendekeza na nilivyo mstaarabu niliwazawadia block wote sitaki mazoea
malizia vizuri hiyo sentensi,,Mwanaume mwenye uchumi ?
Hatuna ubalozi kule, tunawakilishwa na balozi wa tz nchini swideniBalozi unaweza kuta kashakwea zake pipa yupo dar mpaka hali iwe shwar
Aongee vizuri na sisi, mm na vijana wangu tukafanye extraction behind the enemy lines