Changalucha
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 508
- 593
"Mwenyekiti na Serikali ya Kijiji hicho nao walikosa namna ya kumpeleka kupata matibabu". Mwisho wa kunukuuMwenyekiti wa kijiji hicho amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kusema ni kweli familia ilikosa namna ya kumpeleka kupata matibabu kutokana na ukata hivyo mama huyo kufariki dunia akiwa nyumbani kwake