NEC wamesema kama Wagombea walivyoenda Kuchukua Fomu za Kugombea hapo Kwao NEC basi ndiyo nao Wamepangwa hivyo hivyo Karatasini.
Uzuri wa safari hii wapiga kura walishachoshwa sana kwa miaka mitano, kwa hiyo hawawezi kushindwa kujichosha tu siku yenyewe ikifika kwa kuweka alama ya vema kwa yule wanayemtaka.Wapiga Kura wengi Siku ya Kupiga Kura huwa hawataki na wala hawapendi sana 'Kujichosha' na huwapigia wa Kwanza na wa Mwisho ataachwa tu.
Mwaka huu itakuwa zaidi ya Jecha. Huyu Mahela aneshaonyesha mwelekeo wake mspema sana....!!Mpangilio wa alphabeti ndiyo ambao unakubalika kimataifa. Sijui hii imekaaje! Ila busara na hekima hutupa mantiki ya kuwa aliye wa kwanza huja kuwa wa mwisho, na wa mwisho huwa ni wa kwanza.
Huu mfumo walifanya kukomoa ila ndo mtamu ,ni mwendo wa kusema weka tiki wa mwishoNi kweli kabisa, uzuri wapiga kura wote wa cdm wanajua kusoma. Hivyo hata cdm ikiwa nyuma ya karatasi watu watapeleka moto huko huko.
Kweli mmeamua mwaka huu japo 'Ushindi' utarudi kule kule kwa aliyenacho / aliyepewa kama ambavyo hata Vitabu vya Mungu vimeelezea vyema.Uzuri wa safari hii wapiga kura walishachoshwa sana kwa miaka mitano, kwa hiyo hawawezi kushindwa kujichosha tu siku yenyewe ikifika kwa kuweka alama ya vema kwa yule wanayemtaka.
Na wanaweza kuwa wanafanya hivi makusudi ili baadae waje watoe mpangilio tofauti.Huo ni mfano Boss.. siyo kitu halisi.. katika karatasi Halisi waweza kukuta CHADEMA Ndo no.1
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huu mpangilio mzuri sana, wao walijifanya kukomoa ila unawaambia laymen kuwa tiki yule wa mwisho. Angepachikwa katikati ingeleta ugumu.
Hahahaaaa....... Duh!Ili lipate kutimia lile neno kuwa "wa mwisho atakuwa wa kwanza".
Kabisa, ili kumkomoa Lissu, wangeiweka chadema katikati, kuiweka chadema mwishoni ni sawa na kumpiga chura teke.Huu mpangilio mzuri sana, wao walijifanya kukomoa ila unawaambia laymen kuwa tiki yule wa mwisho. Angepachikwa katikati ingeleta ugumu.
Kiwewe cha kushindwa? Au kitete?
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina ya vyama uliowekwa kwa namba ulitokana na vigezo gani, yaani ni kigezo gani kilizingatiwa ili huyu awe namba 1 na yule awe namba 5 ama awe namba 8?
Nitasema Kweli Daima Fitna kwangu Mwiko .
Na mwaka huu wamefanya hivyohivyo kwa ACT Wazalendo kule Zenj.2015 walifata mpangilio Alphabetically.
Naona mwaka huu wameamua kufanya kituko, inawezekana wakaweka jina la chadema upande wa nyuma wa karatasi.
Sitashangaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu mwaka jana wakaengua wagombea uchaguzi serikali za mitaa kisa walijaza CHADEMA badala ya Chama cha demokrasia na maendeleo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu mpangilio mzuri sana, wao walijifanya kukomoa ila unawaambia laymen kuwa tiki yule wa mwisho. Angepachikwa katikati ingeleta ugumu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]2015 walifata mpangilio Alphabetically.
Naona mwaka huu wameamua kufanya kituko, inawezekana wakaweka jina la chadema upande wa nyuma wa karatasi.
Sitashangaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu mwaka jana wakaengua wagombea uchaguzi serikali za mitaa kisa walijaza CHADEMA badala ya Chama cha demokrasia na maendeleo