Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe
Sijawahi ona kwenye Biblia toka nilipoanza kuisoma nikiwa mdogo hadi uzee huu Nabii anamtabiria mtu kifo.

Kufa kupo kwa kila mtu na hatujui saa wala siku ambayo tutakufa. Huyo nabii ni janja janja ili kama ikitokea msanii yoyote kafa ionekane alishatabiri japo pia anaweza kufa kwanza yeye kabla ya huyo msanii. Inasikitisha kwa kweli.
Mtu anajazwa hofu ili akifika Kanisani ifanyike advertisement na waanze kula hela yake kwa maelezo ya kumuombea.
 
Sijawahi ona kwenye Biblia toka nilipoanza kuisoma nikiwa mdogo hadi uzee huu Nabii anamtabiria mtu kifo.

Kufa kupo kwa kila mtu na hatujui saa wala siku ambayo tutakufa. Huyo nabii ni janja janja ili kama ikitokea msanii yoyote kafa ionekane alishatabiri japo pia anaweza kufa kwanza yeye kabla ya huyo msanii. Inasikitisha kwa kweli.
Yesu mwenyewe alitabiliwa kifo... But kumsema mtu kuhusu kigo sio vzr... inatakiw umwombee tu
 
Back
Top Bottom