Dogo unaamini katika Ufreemason wa kunyonya damu na kuuwana? Kweli ujinga ni adui wa maendeleo!!!!Atakuwa mwanachama mwenzake,wanachama wa freemason huwa wanaujua mwisho wa wenzao wanajua Fulani kashindwa masharti au hatoyaweza masharti kafika mwisho, kwa kikao kijacho lazima atolewe kafara atoke duniani akatumikie kuzimu.
Kama yule msanii aliyezikwa kinondoni yupo kuzimu kwa cheo cha alfan star jukumu lake ni kupanda roho ya uharibifu makanisani.
Kuwa na elimu ndogo kuhusu usiyoyajua ndio ujinga wenyewe.Dogo unaamini katika Ufreemason wa kunyonya damu na kuuwana? Kweli ujinga ni adui wa maendeleo!!!!
πHe said this in 2019 July, more than a year before Magufuli's death.
View attachment 2956168
Ndlovu hajaongelea kabila, yeye kasema unabii unamhusu kijana anayetoka taifa lilimtoa Pan-African mashuhuri, sifa ambayo mkapa hana.Amesema anatoka kabila lililomtoa kiongozi mpigania uhuru,
Msanii huyo ni yule mmakonde anayetoka kabila Moja na BM.
Msanii huyo ni huyo mmakonde, ikiwa una mawasiliano naye mpelekee,Ndlovu hajaongelea kabila, yeye kasema unabii unamhusu kijana anayetoka taifa lilimtoa Pan-African mashuhuri, sifa ambayo mkapa hana.
Only Nyerere fits that description.
Mmakonde au msanii mwingine, sina tatizo na hilo. Nilitaka kukumbusha kwamba Ndlovu hakuongelea habari ya kabila.Msanii huyo ni huyo mmakonde, ikiwa una mawasiliano naye mpelekee,
Ingia U-Tube tafuta, Huduma ya kristo- Boniface Steven, pia amewahi Kutoa ujumbe kumhusu.
πππ hiyo ndiyo ishara kuu ya utapeli wao. Ukiwauliza lugha gani hiyo mwaongea? Hawana majibu.Na wakipatia huwa wana mbwembwe Utasikia Ooo raba shaka shakarabaaaaa Nilisema π€£π€£
Kuna ambae alinipiga sound ,eti matatizo niliyonayo kwa sasa ni matokeo ya roho yangu iliyoishi miaka mingi nyuma kabla sijafanyiwa recarnation..nikaona huu ni upuuzi tuWachungaji wanaoona mabaya tu na sio mazuri. Ukienda makanisani mwao wakati wanapiga ramli huwezi sikia anakwambia mazuri yako ili ujijue na utambue kwann maisha yako yote umekuwa hautumii vipawa vyako vema.
Wao utasikia kwenye ukoo wenu mnamazindiko na maagano ya vizazi saba nyuma utadhani alishawahi kuwaona hao vizazi saba nyuma.
Wananikera mimi hawa wadudu.
Matapeli hawa huenda wameshirikiana na hawa hawa Wanamusic ili kutrend msimu huu wa Eid. Na Millard Kalipwa kuisambazaHawawezi kutabili mazuri??
Hayo ni Matapeli tu wa Sadaka na hawana msaada wowote wa kiroho.Wachungaji wanaoona mabaya tu na sio mazuri. Ukienda makanisani mwao wakati wanapiga ramli huwezi sikia anakwambia mazuri yako ili ujijue na utambue kwann maisha yako yote umekuwa hautumii vipawa vyako vema.
Wao utasikia kwenye ukoo wenu mnamazindiko na maagano ya vizazi saba nyuma utadhani alishawahi kuwaona hao vizazi saba nyuma.
Wananikera mimi hawa wadudu.
Wasitabiri kuhusu Watawala wanaoua, kutesa, kuteka na kuuza Rasilimali za Wananchi??Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe
Sasa shughuli inabaki kwetu kama sio Ally bhasi ni Nasibu, maana ndiyo sifa walizotajwa nazo.
Nawatakiwa Asubuhi Njema
View attachment 2952828
Hahahaha kufa kupo sweetheart hata ukikemea...