Amesema anatoka kabila lililomtoa kiongozi mpigania uhuru,

Msanii huyo ni yule mmakonde anayetoka kabila Moja na BM.

Msanii huyo ameonywa mara Kwa mara na hasikii,

Kosa lake ni mene mene tekel na peresi,

Kosa ni kutumia vyombo vitakatifu Kwa maslah ya muziki wake Ili kupata faida binafsi kimuziki na kumtukuza miungu yake Badala ya Mungu.

Ametumia muziki na wasanii wa INJILI kushirikiana nao kimuziki mfano Ule wimbo wa "Moyo wangu".

TABIA hiyo hiyo ameanza kuionyesha Nassib, kupanda madhabahuni kuwin washabiki Toka Kwa muziki wa INJILI.

Wasanii wajifunze kumuogopa Mungu na kumnyenyekea.
 
Dogo unaamini katika Ufreemason wa kunyonya damu na kuuwana? Kweli ujinga ni adui wa maendeleo!!!!
 
Amesema anatoka kabila lililomtoa kiongozi mpigania uhuru,

Msanii huyo ni yule mmakonde anayetoka kabila Moja na BM.
Ndlovu hajaongelea kabila, yeye kasema unabii unamhusu kijana anayetoka taifa lilimtoa Pan-African mashuhuri, sifa ambayo mkapa hana.

Only Nyerere fits that description.
 
Ndlovu hajaongelea kabila, yeye kasema unabii unamhusu kijana anayetoka taifa lilimtoa Pan-African mashuhuri, sifa ambayo mkapa hana.

Only Nyerere fits that description.
Msanii huyo ni huyo mmakonde, ikiwa una mawasiliano naye mpelekee,

Ingia U-Tube tafuta, Huduma ya kristo- Boniface Steven, pia amewahi Kutoa ujumbe kumhusu.
 
Msanii huyo ni huyo mmakonde, ikiwa una mawasiliano naye mpelekee,

Ingia U-Tube tafuta, Huduma ya kristo- Boniface Steven, pia amewahi Kutoa ujumbe kumhusu.
Mmakonde au msanii mwingine, sina tatizo na hilo. Nilitaka kukumbusha kwamba Ndlovu hakuongelea habari ya kabila.

Alitaka kujulisha taifa la msanii huyo kwa kusema ni taifa alilotoka pan-african mashuhuri.
 
Wachungaji wanaoona mabaya tu na sio mazuri. Ukienda makanisani mwao wakati wanapiga ramli huwezi sikia anakwambia mazuri yako ili ujijue na utambue kwann maisha yako yote umekuwa hautumii vipawa vyako vema.

Wao utasikia kwenye ukoo wenu mnamazindiko na maagano ya vizazi saba nyuma utadhani alishawahi kuwaona hao vizazi saba nyuma.

Wananikera mimi hawa wadudu.
 
Kuna ambae alinipiga sound ,eti matatizo niliyonayo kwa sasa ni matokeo ya roho yangu iliyoishi miaka mingi nyuma kabla sijafanyiwa recarnation..nikaona huu ni upuuzi tu
 
Hayo ni Matapeli tu wa Sadaka na hawana msaada wowote wa kiroho.

Wao mafundisho yao ni Uchawi, Laana, wanga, mikosi, shetani

Yaani ibada inaisha hawajataja Utukufu wa Mungu.
 
Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe

Sasa shughuli inabaki kwetu kama sio Ally bhasi ni Nasibu, maana ndiyo sifa walizotajwa nazo.

Nawatakiwa Asubuhi Njema

View attachment 2952828
Wasitabiri kuhusu Watawala wanaoua, kutesa, kuteka na kuuza Rasilimali za Wananchi??
These Thiefs behind Jesus Name must be cursed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…