Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Kuna mtu aliponda watu wanajifanya wana kazi wanalilia ualimu

Kumbe na Watumishi wa Umma wanalilja 30,000

Komaeni nayo
 
Piga forex usituchanganye sahv
 
Acheni kqzi tu sisi ambao hatujaajiriwa tunatamani basi hata izowalizo ongeza wangepunguza kwenye mshahara wazamani yaani mshara ndio upungue sio kuongeza natupo tayari kwa kazi nakuimba mama mama mama
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mkuu nimecheka sana ila hisia zako zinauma sana.

Imagine graduate wa 2015 hajaajiriwa hadi sasa, tena degree holder akiomba hata kufundisha shule ya msingi anatemwa
 
 
 

Attachments

  • 1658517280430.png
    75.5 KB · Views: 10
Mwanasiasa sio mtu aisee! Poleni sana ndugu zangu.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Najiuliza hivi ilikuwaje JK aliweza kupandisha mishahara kiasi kikubwa vile kipindi chake na hawa wanashindwa wapi? Au ni dharau tu hamna cha kumfanya?
Ulikuwepo? Ilipandishwa kiasi gan?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…