Wewe pia zunguka zunguka useme,na uwe na kiswahili kingi,uone kama kuna atakuaye kusikiza.
 
Da yaani wewe poti uwa nakukubali, kwanza naye kapigwa na kitu kizito sababu bandari yetu pendwa hajuhi kama itajengwa
 
Kwa mkataba huu huu bila mabadiliko umeridhika?
 
Www popoma lini utaacha upuambavu alfu ndio wee unakuwa think tank la watu wa musoma ,Mara kwa akili hz

SAS kikwete bandari inamuhisu nn mtu kashamaliza Muda wake unategemea aongee ishu ya bandari ili imsaidiee
 
Www popoma lini utaacha upuambavu alfu ndio wee unakuwa think tank la watu wa musoma ,Mara kwa akili hz

SAS kikwete bandari inamuhisu nn mtu kashamaliza Muda wake unategemea aongee ishu ya bandari ili imsaidiee
Wewe Upumbavu na Utaahira umeuacha lini?
 
Anaogopa kumtibua "rosti tamu"
 
Kwa hiyo alivyostaafu na u Tanzania wake uliisha? au wajibu wake kwa Taifa Kama raia uliisha?. Basi Kama ni hivyo ahamia hata Burundi huko atuachie nchi yetu .
 
huyo mzee ndio saratani inayotafuna taifa, mpaka akidondoka ndio nchi itapumua.
Mwinyi alipokua anakosea Nyerere alisimama na kukanya,
alipokosea kikwete Mkapa alikosoa vile vile.
Hata Magufuli alipokosea Mkapa alikosoa pia.
Huyu kikwete sijui faida yake ninini katika hili taifa
 
Hivi kwani Kikwete alikufir@mba au??mbona una ghadhabu nae sana??Nenda ustawi WA jamii or kwenye vyombo vya sheria ukashtaki sio kukaa dukuduku moyoni..maana Kila siku Kikwete hivi Mara Kikwete vile as if Umeachika huku ukiwa unampenda..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…