My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
Yuko kwa waadzabe anawapa habari njema za DP world, endelea kusubir atakufikia na ww mkuuKwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.
Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.
2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.
Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.
Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
👇👇Kwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.
Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.
2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.
Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.
Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
😄 😄 😄 😄 msoga😄😄yupooKwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.
Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.
2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.
Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.
Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
Aseme nini? Mkataba ule unaweza kusainiwa na taahira pekeeKwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.
Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.
2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.
Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.
Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
Hakuna wizi na scandali kubwa hapa nchini ambazo hilo jizi halijashiriki,Kwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.
Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.
2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.
Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.
Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
Na ukiendelea kuwa bwege kama hivyo basi atakufisadi hadi mkeo, lafa wewe!!Fisadi Kikwete lazima atakuwa kwenye wale wamiliki wa 35%
Kumbukeni alivyotupiga kwenye gesi.
Ukiendelea kuwa bwege kama hivyo basi atakuibia na atakufanyia ujambazi hadi kwa mkeo, lafa wewe!!Hakuna wizi na scandali kubwa hapa nchini ambazo hilo jizi halijashiriki,
Huyo ndio mwizi mkubwa aliyebaki,
Ingekuwa wa TZ wamefungua kesi,huyo angekuwa shahidi muhimu sana,
Maana ndio kubwa la majambazi kwa sasa
Kwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.
Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.
2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.
Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.
Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
Upo forodhani unauliza baharini wapi? Wewe kweli ndiyo walewale.Kwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.
Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.
2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.
Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.
Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
Kumbe! Kama remote imeamua TV haina ujanja
Huyo hasemi kitu, sana sana tutegemee kitu![emoji41] Akili zake anazijua mwenyeweKwa hali ilipofikia katika sakata hili la DP Wprld, kuna haja ya kumuomba mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete atoe kauli juu ya hili.
Kwanini mzee Kikwete?
1. J. K anashikilia rekodi ya kuwa ndiye rais mwanademokrasia kuliko wote Tanzania atoe kauli kuhusu hili.
2. J. K ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika nchi hii.
Pengine kauli yake itaheshimiwa na akina Tulia Ackson anayewadharau wazee.
Muhimu zaidi tunataka kujua mzee J. K Kikwete yuko upande gani katika sakata hili.
Jibu kama hili 🖕 hutolewa na mabwege fulani, kama siyo macenge kabisa.Na ukiendelea kuwa bwege kama hivyo basi atakufisadi hadi mkeo, lafa wewe!!