Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Kama kijana Nimejichanga Kwa mda mlefu - nimeweza kuwa na saving ya 6million..ningependa niwekeze katika BIASHARA yoyote itakayo niingizia kipato.

kwa ugeni katika biashara nimeona niwashilikishe wadau kwa mawazo yenu nifanye piashara gani kwa mtaji wa milioni 6 na makadilio ya faida yatakuaje!?.

Natanguliza SHUKRAN.
 
Kama kijana Nimejichanga Kwa mda mlefu - nimeweza kuwa na saving ya 6million..ningependa niwekeze katika BIASHARA yoyote itakayo niingizia kipato.

kwa ugeni katika biashara nimeona niwashilikishe wadau kwa mawazo yenu nifanye piashara gani kwa mtaji wa milioni 6 na makadilio ya faida yatakuaje!?.

Natanguliza SHUKRAN.
Tafuta eneo zuri fungua biashara ya vyombo,au
 
Mi natafta mtu mwenye coaster used ya kufanyia biashara yenye bei nzr mwenye nayo anifate inbox

je unataka investment ya muda mfupi au mrefu, specify,pili biashara hiyo utasimamia mwenyewe au unataka uweke mtu wa kuisimamia? Je unataka biashara hiyo ndo uitegemee kwa maisha ya kila siku? Uko tayari kwenda kinyume cha imani yako(kama una imani/dini) ?
 
Kama kijana Nimejichanga Kwa mda mlefu - nimeweza kuwa na saving ya 6million..ningependa niwekeze katika BIASHARA yoyote itakayo niingizia kipato.

kwa ugeni katika biashara nimeona niwashilikishe wadau kwa mawazo yenu nifanye piashara gani kwa mtaji wa milioni 6 na makadilio ya faida yatakuaje!?.

Natanguliza SHUKRAN.
Mpigie Haji anauza perfume.
 
hii imevunja rekodi mkuu japo ni ya 2009 ila bado inaishi[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii kiboko!!

Bila shaka Mkuu huko Bongo, ni uzoefu wa siasa halisi za bongo. Ni projects za walio wengi na hasa tunapoelekea 2010 na zinalipa!.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
hii imevunja rekodi mkuu japo ni ya 2009 ila bado inaishi[emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23]

Hakuna namna, kama mmea vile
Tuliiwekea thread hii samadi ya kutosha
Iendelee kumea.
 
fanya biashara ya kutoa mikopo kwa watumishi wa serikali tu, nafanya kazi kwenye hizi taasisi,watu wametajirika kwelikweli
hao wakopeshaji wanatumia mfumo gan kuwafanya wakopaji walipe madeni?? mana watu n wasumbfu sana kwny kulipa
 
Fungua production inalipa sana itajihusisha na mengi hapo
 
Uki calculate risk,hakuna biashara utafanya. Hata ukitoa nyanya shambani kuna sehemu gari utapata pancha,kuna time mvua itanyesha gari itakwma njiani.
Professor wangu mmoja aliniambia,
Wenye mafanikio sana sio waliosoma sana. Kwa sababu they are ready to face risk,lakini msomi wachache sana waliosoma
Nipe list ya wasomi matajiri..au kwenye list ya matajiri wa dunia,wasomi ni wa Ngapi humo?
Kila biashara ina risk zake,just calculate minimum list and let the maximum be the profit..
Finito
top ten wote matajiri duniani ni wasomi,
Tanzania tajiri asie msomi kwenye top 5 ni bakhressa tu ambae ni watatu
NEVER IGNORE EDUCATION ITS A LIFE SOURCE
 
Habari za midaa hii wadau???

Mimi ni mwajiriwa sehem flani.Kijiajira changu kinauwezo kuniingizia kama 7M kwa mwaka nikishafanya matumizi yote na kila kitu.

Sasa nimejaribu kukaa na kufikiria naweza kufanya nini kwa 7M sipati jawabu kamili.Nikaona sina budi niwashirikishe wapendwa.

Baadhi ya vitu nilivyovitathimini
1:Nitafute sehemu nifungue mgahawa wa chakula mana ninaona mazingira yanaruhusu na kuna changamoto sana ya kupata chakula kizuri na kwa wakati

2:Ninunue gari yenye thamani ya pesa hio nitafute dereva mwaminifu nimkabidhi kwa mkataba afanye taxi ama ubber

3:Nijikite kwenye kilimo cha mpunga morogoro

4:Nilime ndimu za kumwagilia zanzibar(project kubwa pesa ni ndogo)

5:Nina kibanda cha room tatu kimefika kwenye lenta.Ama nikimalizie niachane na masuala ya biashara?
Naombeni ushauri tafadhali

NB:sifikirii kuacha kazi bali ni kuweka watu wa kusimamia mpaka mradi utakapokua stable.
Kama umepanga malizia kibanda mwaka unaofuata kusanya kiasi hichohicho fungua biashara anza na 3.5m,ongeza mtaji kulingana na mahitaji wateja wako.
Biashara ya vifaa vya pikipiki ni nzuri, unatafuta fundi pikipiki anakaa hapo nje ya duka utamlipa kulingana na kazi zake hapo njee,hii Biashara inahitaji usimamizi wa hali ya juu,ukae ww mwenyewe au wife
 
Wakuu ,.ninaomba kujua biashara iliyoko hot kwa now tz,,
Please, kwa mtaji wa 15mil.,Either coaster or restaurant
 
Back
Top Bottom