johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wataje hao wachungaji wanne!Kwa muda wa wiki 2 au 3 kwa dar pekee yake tumepoteza wachungajinkaribia 4 wenye uzoefu.
Najiuliza kuna nini?
Pamoja na hilo linakuja swala la kupoteza wabunge na viongozi wakubwa.
Siamini kama ni corona.
Wasiwasi umetanda , hapa Geita kuna mzee wa kanisa kafa ghafla, hata kanisani sasa wanaenda watu wachache sana kibishi.
Jamani Imani zinajaribiwa.
Sometimes nashika kichwa tuu, sijui wapi kwa kukimbilia.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38]
Kwamba kwanini sio masheikh
I'm on that good kush and alcohol
Geita mchungaji wa kanisa gani hilo?Kwa muda wa wiki 2 au 3 kwa dar pekee yake tumepoteza wachungajinkaribia 4 wenye uzoefu.
Najiuliza kuna nini?
Pamoja na hilo linakuja swala la kupoteza wabunge na viongozi wakubwa.
Siamini kama ni corona.
Wasiwasi umetanda , hapa Geita kuna mzee wa kanisa kafa ghafla, hata kanisani sasa wanaenda watu wachache sana kibishi.
Jamani Imani zinajaribiwa.
Sometimes nashika kichwa tuu, sijui wapi kwa kukimbilia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaongea Kama mzazi Kama mlezi na Kama mtu anayetambua wazi kuwa kuishi nimara moja tu
Sisi Tanzania tuko vizuri zaidi...Huyu mzee amesimama kidete katika Taifa lake, anatoa maelekezo yenye mantiki na yasiyo na mkanganyiko. Anaongea Kama mzazi Kama mlezi na Kama mtu anayetambua wazi kuwa kuishi nimara moja tu na Vita ya kupigania uhai inapewa kipaumbele kwani ukifa umeondoka.
Natamani kuwaona viongozi wa Tanzania hasa wenye dhamana wakisimama na kuelekeza mikakati waliyonayo
Waajabu= Wa ajabu.Nyie watu ni waajabu sana,mseven hakuna alichokifanya ni blah blah tu na kutafuta namna ya kula pesa za umma kwa mgongo wa lockdown...
Kwa nn aingie na chupa ya chai bungeni , Kama mleta mada alivyoongea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mleta mada macho yake yamefananisha na chupa ya chai, lakini haikua chupa ya chaiKwa nn aingie na chupa ya chai bungeni , Kama mleta mada alivyoongea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Makaratasi Yale wanayobadilishana mule Bungeni ni hatari sana kwenye kusambaza Covid -19.so kwa mtu anayejijari kila baada ya kushika kitu toka kwa mtu mwingine hata Kama ni pesa ni muhimu kunawa mikono kwa sabuni au kutumia sanitizerLeo waziri wa uwekezaji mh Kairuki amenishangaza kidogo, ameingia bungeni na chupa kubwa kama chupa ya chai...