Utakuwa hujapata habari ya kile kinachojili kule mpaka wamelalamika. Hiyo unayosema ya dollar 10,000 basi itakuwa mikakati ya kuongeza huduma. Hata Trump mwenyewe amelalamikia hiyo hali!Yaani hata manyeusi wenzao hawawatibu? Kuwa serious mkuu.Nina jamaa yangu pale Minneapolis Minnesota ni daktari na juzi juzi alikuwa ananiambia anataka aende The Empire state kuchukua zile dollsr 10,000 kwa wiki zilizotangazwa na meya wa Empire state
Huu ushauri ni wa kuupuuza. Nitoe sababu chache.
Kwanza, access ya hizo tehama kwa wahusika ni za mashaka. Huwezi kufundishia tehama huku hujawaandaa wanafunzi kufundishwa kwa tehama. Kwa mfano hakukuwa na maelekezo kuwa kutakuwepo kusoma kwa tehama. Kama unataka wanafunzi wapewe notes akajisomee nyumbani hii inawezekana. Lakini kwa mazingira ya sasa hata ukiwatumia hizo slides ni kazi bure tu. Mtawafelisha bure watoto wa maskini.
Pili, mazingira ya mtanzania siyo ya kusomea kwenye mtandao. Mitandao ya simu ukianza kwenda pembeni hata mji hujaumaliza tayari network hakuna. Hapo hakutakuwa na kusoma. Yatageuka kuwa mateso.
Tatu, nyumbani kwa watanzania wengi kumejaa umaskini kuanzia wa kipato mpaka wa k
Hivi mlizifunga ili iweje? Hivi hao wanafunzi wakirudi shuleni mtawafanyia vipimo?Shule kufunguliwa kwa sasa ni hatari kubwa sana
Awamu ya kikwete alianza kuwekeza kwenye TEHAMA hasa kwa walimu kwenda kujifunza kwa njia ya semina na kwa shule kuletewa Kompyuta nyingi zaidi,,lengo lilikuwa kila shule lifundishe SOMO la kompyuta kwa kila mwanafunzi lakini baada ya awamu hii ya kizalendo kuingia program zote za mafunzo kwa walimu zikafyekwa hakuna tena,ndoto za kuanzisha somo la kompyuta kwa wanafunzi ili wasome halisikiki tena ni kama limekufa kabisa.
Watanzania tujiulize kwa umakini zaidi maana dunia ya sasa ni ya kiteknolojia kwa kila kitu sasa kama bado tunaishi katika kipindi cha giza wakati wenzetu wanaishi kipindi cha mwanga tusitegemee mabadiliko ya haraka hata siku moja.
Kama serikali ilidhani kufunga vyuo mwezi mmoja itazuia huu ugojnjwa basi ilikosea. Kwa sasa mambo ya online bado hatujafikia hizo teknolojia.Halafu?
Kama alichopendekeza mwenzako haliwezekani kwa sababu ulizotoa, badala yake wewe unapendekeza option gani?
å Shule na vyuo vifunguliwe, masomo na misongamano iendelee hivyo hivyo?
å Au Shule ziendelee kufungwa hadi hali ya maambukizi itakapokuwa imedhibitiwa kabisa na tukubali tu kupoteza muda huu na kisha uwe compensated huko mbeleni?
å Au shule na vyuo vifunguliwe kwa mafungu na wanafunzi/vyuo wawe wanaingia madarasani kwa mafungu kwa mkao distance inayokubalika ikiwa ni pamoja na sehemu zao za kulala?
Nini pendekezo lako hasa?
Kama serikali ilidhani kufunga vyuo mwezi mmoja itazuia huu ugojnjwa basi ilikosea. Kwa sasa mambo ya online bado hatujafikia hizo teknolojia.
Kinachotakiwa ni kuanza mafunzo kwa njia ya posta. Wanafunzi wa vyuo wajiandikishe watumiwe printed lecture notes na syllabus. Pia online sources ziwekwe kwenye mfumo wa tehama ili wale wenye access wakapitie.
Waanzishiwe magroup ya whatsapp waendelee kuuliza walimu wao maswali ikiwezekana.
Mambo yakitulia basi wapewe mwezi mmoja wakakamilishe mambo ya test, assignment na mitihani.
Sekondari na shule za msingi zinaweza kuahirisha hata mpaka mwisho wa mwaka. Mwakani wanavushwa kwenda darasa linalofuata. Ila watafundishwa mara mbili mpaka jioni ili ku-cover contents za nusu mwaka uliopotea.
Darasa la saba na form four watafanya mitihani yenye maswali mpaka pale walipoishia darasani kuendana na ratiba ya wizara ya elimu. Sasa hivi wanapaswa watangaziwe mapema kuwa wajiandae na mitihani ya kuhitimu wakiwa nyumbani.
Nawasilisha.
Ndiyo nchi yako mkuu. Just pray for it. God will intervenewakati nipo chuo mwaka wa kwanza mwaka 2000 tulikuwa tunafundishwa somo la kompyuta application, tena tulikuwa tunachekana sana watu wanavyopata shida kutumia mouse. Chuo kilikuwa kina library ya kompyuta ambayo iilikuwa connected na internet hivyo wanachuo wakawa wanaenda kutumia na ku surf mitandao na hivyo kuendelea kuwapa uwezo zaidi wa kutumia TEHAMA. Inanisikitisha sana kusikia kwamba miaka 20 mbele mwanachuo hawezi kutumia teknolojia ya TEHAMA na wala hajawezeshwa kumiliki laptop na smart phone/tablet kwa ajili ya shughuli zake za kujifunza. Hii nchi tunatia aibu, utaishia kusikia huyu kapewa milioni 200 ili akaunge mkono juhudi....what a mess!!
Ea in the e inNashauri shule na vyuo viendelee kufungwa lakini kwa upande wa vyuo vikuu, wakufunzi waanze kufundisha kwa njia ya mtandao.
Hii inawezekana hasa kwa masuala ya theory, na practical zinaweza kufanyika siku wakirejea vyuoni. Tutumie mitandao kuwafundisha kwa vile wapo majumbani.
Kwa kuanzia, kuna wawakilishi wa wanafunzi (CRs) na viongozi wa wanafunzi vyuoni, hawa wanaweza kutumiwa notes na wakufunzi kwa mtindo wa SLIDES na VIDEOS na kusambaza kwa wenzao na hivyo muhula wa masomo kuendelea kama kawaida.
Kwa wale wenye mikopo (BOOM) wanaweza kupewa nusu kwa mfano sh.250,000/= ili zingine wapewe wakirudi vyuo baada ya kusaini.
Nimeshuhudia vyuoni baadhi ya wanafunzi hawahudhurii darasani ila wanachukua slides na kujisomea na wamekuwa wakifaulu hata kuzidi wale wanaohudhuria.
Vyuo vitakapofunguliwa, wakufunzi wanaweza ku-HIGHLIGHT kile walichofundisha na baadae kutoa TEST ONE.
Ili kiepusha msongamano, usumbufu katika vituo vya mabasi, na kukosa usafiri, siku shule zikifunguliwa, wapishane kwa wiki moja. Kwa mfano, wanaweza kutangulia wa shule za msingi na sekondari na baada ya wiki moja wafuatie wa vyuo vya kati na vyuo vikuu.
Wanafunzi wa vyuo vikuu wana viherehere hasa wakati wa uchaguzi, hivyo si vyema uchaguzi ukawakuta wakiwa vyuoni.
Kwa kweli inahitajika divine intervention, kama tunaweza kutumia matrillioni kununua ndege cash, hivi tunashindwa kutoa laptop kwa wanachuo as a special requirement kwa ajili ya kuwarahisishia shughuli zao za kujifunza.Ndiyo nchi yako mkuu. Just pray for it. God will intervene
Ghadafi na jangwa lake aliweza kutoa mpaka mahari.Kwa kweli inahitajika divine intervention, kama tunaweza kutumia matrillioni kununua ndege cash, hivi tunashindwa kutoa laptop kwa wanachuo as a special requirement kwa ajili ya kuwarahisishia shughuli zao za kujifunza.
Shida ipo kutikana na uelewa was viongozi wetu na wananchi wa nchi hii,,tuwashinikize hawa viongozi watende sawasawa na hitajio la wananchi,,ni aibu kusikia kila siku kwamba huyu kaunga JUHUDI mara huyu kalipwa million mia tatu kama kishawishi cha kuhama chama kwenda kuunga juhudi. Tuwekeze kwenye vitu vya msingi kama nchi na vitu vya msingi kwa ajili ya kuwekeza ni ELIMU na UTAFITIwakati nipo chuo mwaka wa kwanza mwaka 2000 tulikuwa tunafundishwa somo la kompyuta application, tena tulikuwa tunachekana sana watu wanavyopata shida kutumia mouse. Chuo kilikuwa kina library ya kompyuta ambayo iilikuwa connected na internet hivyo wanachuo wakawa wanaenda kutumia na ku surf mitandao na hivyo kuendelea kuwapa uwezo zaidi wa kutumia TEHAMA. Inanisikitisha sana kusikia kwamba miaka 20 mbele mwanachuo hawezi kutumia teknolojia ya TEHAMA na wala hajawezeshwa kumiliki laptop na smart phone/tablet kwa ajili ya shughuli zake za kujifunza. Hii nchi tunatia aibu, utaishia kusikia huyu kapewa milioni 200 ili akaunge mkono juhudi....what a mess!!
Ila new York hakuna manyeusi wengi kihivyoUtakuwa hujapata habari ya kile kinachojili kule mpaka wamelalamika. Hiyo unayosema ya dollar 10,000 basi itakuwa mikakati ya kuongeza huduma. Hata Trump mwenyewe amelalamikia hiyo hali!
Hakuna na haitotokea na kama ikitokea itakuwa kwako.
Nyie msioamini ndo mnaturetea uchuro. Hivi unataka kuniambia Tz ni smart kuliko Marekani, Italy , S.A basi tusiende mbali hapo kenya wametuzidi Mbali mno unajua kwanini wanakufa , wamehisi Corona ni Mkubwa kuliko Mungu wakafunga Makanisa na Misikiti watu wakashindwa kumuomba Mung hapo tu
Na wagonjwa wanazidi kuongezeka pamoja na vifoKwa kweli inahitajika divine intervention, kama tunaweza kutumia matrillioni kununua ndege cash, hivi tunashindwa kutoa laptop kwa wanachuo as a special requirement kwa ajili ya kuwarahisishia shughuli zao za kujifunza.
Hali imeshakuwa tete, tuzidishe maombisidhani kuna mzazi atafurahia kurudisha shule wanae sasa, it is too soon!! at least tuone kwanza data zetu for a month more, na hasa hawa wagonjwa wanaotibiwa sasa wakipona itakuwa safi sana. turudi zero with extremely tight entry to Tanzania, mimi bado siamini sana kama tumedhibiti ipasavyo uingiaji wa waleta Coronavirus mipakani na Airport hadi nisikie JWTZ wamechukua kazi hiyo, but wenyewe wakiamua shule zifunguliwe tutawapeleka shingo upande!
Mawazo ni mazuri lkn kwa nchi yetu ni ngumu kutekelezeka kwa kuwa wanafunzi wengine hawana vitendea kaziNashauri shule na vyuo viendelee kufungwa lakini kwa upande wa vyuo vikuu, wakufunzi waanze kufundisha kwa njia ya mtandao.
Hii inawezekana hasa kwa masuala ya theory, na practical zinaweza kufanyika siku wakirejea vyuoni. Tutumie mitandao kuwafundisha kwa vile wapo majumbani.
Kwa kuanzia, kuna wawakilishi wa wanafunzi (CRs) na viongozi wa wanafunzi vyuoni, hawa wanaweza kutumiwa notes na wakufunzi kwa mtindo wa SLIDES na VIDEOS na kusambaza kwa wenzao na hivyo muhula wa masomo kuendelea kama kawaida.
Kwa wale wenye mikopo (BOOM) wanaweza kupewa nusu kwa mfano sh.250,000/= ili zingine wapewe wakirudi vyuo baada ya kusaini.
Nimeshuhudia vyuoni baadhi ya wanafunzi hawahudhurii darasani ila wanachukua slides na kujisomea na wamekuwa wakifaulu hata kuzidi wale wanaohudhuria.
Vyuo vitakapofunguliwa, wakufunzi wanaweza ku-HIGHLIGHT kile walichofundisha na baadae kutoa TEST ONE.
Ili kiepusha msongamano, usumbufu katika vituo vya mabasi, na kukosa usafiri, siku shule zikifunguliwa, wapishane kwa wiki moja. Kwa mfano, wanaweza kutangulia wa shule za msingi na sekondari na baada ya wiki moja wafuatie wa vyuo vya kati na vyuo vikuu.
Wanafunzi wa vyuo vikuu wana viherehere hasa wakati wa uchaguzi, hivyo si vyema uchaguzi ukawakuta wakiwa vyuoni.