#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Yaani hata manyeusi wenzao hawawatibu? Kuwa serious mkuu.Nina jamaa yangu pale Minneapolis Minnesota ni daktari na juzi juzi alikuwa ananiambia anataka aende The Empire state kuchukua zile dollsr 10,000 kwa wiki zilizotangazwa na meya wa Empire state
Utakuwa hujapata habari ya kile kinachojili kule mpaka wamelalamika. Hiyo unayosema ya dollar 10,000 basi itakuwa mikakati ya kuongeza huduma. Hata Trump mwenyewe amelalamikia hiyo hali!
 
Ni Bora kusubiri maelekezo ya serikali kuliko kutoa ushauri wakati shule zinafunguliwa 20/4/2020
 
Huyo CORONA wenu kama atahimili kishindo cha jua la kuanzia mwezi Mei na kuendelea (yaani kiangazi) basi atakuwa mwanaume!
 
Huu ushauri ni wa kuupuuza. Nitoe sababu chache.

Kwanza, access ya hizo tehama kwa wahusika ni za mashaka. Huwezi kufundishia tehama huku hujawaandaa wanafunzi kufundishwa kwa tehama. Kwa mfano hakukuwa na maelekezo kuwa kutakuwepo kusoma kwa tehama. Kama unataka wanafunzi wapewe notes akajisomee nyumbani hii inawezekana. Lakini kwa mazingira ya sasa hata ukiwatumia hizo slides ni kazi bure tu. Mtawafelisha bure watoto wa maskini.

Pili, mazingira ya mtanzania siyo ya kusomea kwenye mtandao. Mitandao ya simu ukianza kwenda pembeni hata mji hujaumaliza tayari network hakuna. Hapo hakutakuwa na kusoma. Yatageuka kuwa mateso.

Tatu, nyumbani kwa watanzania wengi kumejaa umaskini kuanzia wa kipato mpaka wa k

Halafu?

Kama alichopendekeza mwenzako haliwezekani kwa sababu ulizotoa, badala yake wewe unapendekeza option gani?

å Shule na vyuo vifunguliwe, masomo na misongamano iendelee hivyo hivyo?

å Au Shule ziendelee kufungwa hadi hali ya maambukizi itakapokuwa imedhibitiwa kabisa na tukubali tu kupoteza muda huu na kisha uwe compensated huko mbeleni?

å Au shule na vyuo vifunguliwe kwa mafungu na wanafunzi/vyuo wawe wanaingia madarasani kwa mafungu kwa mkao distance inayokubalika ikiwa ni pamoja na sehemu zao za kulala?

Nini pendekezo lako hasa?
 
Awamu ya kikwete alianza kuwekeza kwenye TEHAMA hasa kwa walimu kwenda kujifunza kwa njia ya semina na kwa shule kuletewa Kompyuta nyingi zaidi,,lengo lilikuwa kila shule lifundishe SOMO la kompyuta kwa kila mwanafunzi lakini baada ya awamu hii ya kizalendo kuingia program zote za mafunzo kwa walimu zikafyekwa hakuna tena,ndoto za kuanzisha somo la kompyuta kwa wanafunzi ili wasome halisikiki tena ni kama limekufa kabisa.
Watanzania tujiulize kwa umakini zaidi maana dunia ya sasa ni ya kiteknolojia kwa kila kitu sasa kama bado tunaishi katika kipindi cha giza wakati wenzetu wanaishi kipindi cha mwanga tusitegemee mabadiliko ya haraka hata siku moja.

Nakubaliana na wewe kwa dunia ya sasa na kadri tunavyokwenda matumizi ya tehama kwenye elimu hayaepukiki. Kinachohitajika ni uwekezaji wa kwa walimu kama ulivyosema. But all in all kwa mtu ambaye hajaexperince mfumo huu (Virtual Learning/Classes) ni rahisi kuona kama ni jambo lisilowezekana.
 
Halafu?

Kama alichopendekeza mwenzako haliwezekani kwa sababu ulizotoa, badala yake wewe unapendekeza option gani?

å Shule na vyuo vifunguliwe, masomo na misongamano iendelee hivyo hivyo?

å Au Shule ziendelee kufungwa hadi hali ya maambukizi itakapokuwa imedhibitiwa kabisa na tukubali tu kupoteza muda huu na kisha uwe compensated huko mbeleni?

å Au shule na vyuo vifunguliwe kwa mafungu na wanafunzi/vyuo wawe wanaingia madarasani kwa mafungu kwa mkao distance inayokubalika ikiwa ni pamoja na sehemu zao za kulala?

Nini pendekezo lako hasa?
Kama serikali ilidhani kufunga vyuo mwezi mmoja itazuia huu ugojnjwa basi ilikosea. Kwa sasa mambo ya online bado hatujafikia hizo teknolojia.

Kinachotakiwa ni kuanza mafunzo kwa njia ya posta. Wanafunzi wa vyuo wajiandikishe watumiwe printed lecture notes na syllabus. Pia online sources ziwekwe kwenye mfumo wa tehama ili wale wenye access wakapitie.

Waanzishiwe magroup ya whatsapp waendelee kuuliza walimu wao maswali ikiwezekana.

Mambo yakitulia basi wapewe mwezi mmoja wakakamilishe mambo ya test, assignment na mitihani.

Sekondari na shule za msingi zinaweza kuahirisha hata mpaka mwisho wa mwaka. Mwakani wanavushwa kwenda darasa linalofuata. Ila watafundishwa mara mbili mpaka jioni ili ku-cover contents za nusu mwaka uliopotea.

Darasa la saba na form four watafanya mitihani yenye maswali mpaka pale walipoishia darasani kuendana na ratiba ya wizara ya elimu. Sasa hivi wanapaswa watangaziwe mapema kuwa wajiandae na mitihani ya kuhitimu wakiwa nyumbani.

Nawasilisha.
 
Kama serikali ilidhani kufunga vyuo mwezi mmoja itazuia huu ugojnjwa basi ilikosea. Kwa sasa mambo ya online bado hatujafikia hizo teknolojia.

Kinachotakiwa ni kuanza mafunzo kwa njia ya posta. Wanafunzi wa vyuo wajiandikishe watumiwe printed lecture notes na syllabus. Pia online sources ziwekwe kwenye mfumo wa tehama ili wale wenye access wakapitie.

Waanzishiwe magroup ya whatsapp waendelee kuuliza walimu wao maswali ikiwezekana.

Mambo yakitulia basi wapewe mwezi mmoja wakakamilishe mambo ya test, assignment na mitihani.

Sekondari na shule za msingi zinaweza kuahirisha hata mpaka mwisho wa mwaka. Mwakani wanavushwa kwenda darasa linalofuata. Ila watafundishwa mara mbili mpaka jioni ili ku-cover contents za nusu mwaka uliopotea.

Darasa la saba na form four watafanya mitihani yenye maswali mpaka pale walipoishia darasani kuendana na ratiba ya wizara ya elimu. Sasa hivi wanapaswa watangaziwe mapema kuwa wajiandae na mitihani ya kuhitimu wakiwa nyumbani.

Nawasilisha.

Vizuri. Hapo umeeleweka vyema....

Nakubaliana na pendekezo lako....

Kwa wanafunzi wa vyuo vya kati na vya juu, utaratibu wa TEHEMA unawezekana japo unaweza usiwe successful kwa 100% kwa wanachuo wote....

Kwa vyovyote wengi hususani wa vijijini wanaweza kuikosa fursa hii kwa ukamilifu wake...

Kwa shule za msingi na sekondari, there's no way kufungua shule kwa sasa iwapo serikali inajiridhisha kuwa maambukizi bado....

The schools (pre-primary, primary & secondary levels) can be delayed for more time again until when the situation is under control....

Thank you
 
wakati nipo chuo mwaka wa kwanza mwaka 2000 tulikuwa tunafundishwa somo la kompyuta application, tena tulikuwa tunachekana sana watu wanavyopata shida kutumia mouse. Chuo kilikuwa kina library ya kompyuta ambayo iilikuwa connected na internet hivyo wanachuo wakawa wanaenda kutumia na ku surf mitandao na hivyo kuendelea kuwapa uwezo zaidi wa kutumia TEHAMA. Inanisikitisha sana kusikia kwamba miaka 20 mbele mwanachuo hawezi kutumia teknolojia ya TEHAMA na wala hajawezeshwa kumiliki laptop na smart phone/tablet kwa ajili ya shughuli zake za kujifunza. Hii nchi tunatia aibu, utaishia kusikia huyu kapewa milioni 200 ili akaunge mkono juhudi....what a mess!!
 
wakati nipo chuo mwaka wa kwanza mwaka 2000 tulikuwa tunafundishwa somo la kompyuta application, tena tulikuwa tunachekana sana watu wanavyopata shida kutumia mouse. Chuo kilikuwa kina library ya kompyuta ambayo iilikuwa connected na internet hivyo wanachuo wakawa wanaenda kutumia na ku surf mitandao na hivyo kuendelea kuwapa uwezo zaidi wa kutumia TEHAMA. Inanisikitisha sana kusikia kwamba miaka 20 mbele mwanachuo hawezi kutumia teknolojia ya TEHAMA na wala hajawezeshwa kumiliki laptop na smart phone/tablet kwa ajili ya shughuli zake za kujifunza. Hii nchi tunatia aibu, utaishia kusikia huyu kapewa milioni 200 ili akaunge mkono juhudi....what a mess!!
Ndiyo nchi yako mkuu. Just pray for it. God will intervene
 
Nashauri shule na vyuo viendelee kufungwa lakini kwa upande wa vyuo vikuu, wakufunzi waanze kufundisha kwa njia ya mtandao.

Hii inawezekana hasa kwa masuala ya theory, na practical zinaweza kufanyika siku wakirejea vyuoni. Tutumie mitandao kuwafundisha kwa vile wapo majumbani.

Kwa kuanzia, kuna wawakilishi wa wanafunzi (CRs) na viongozi wa wanafunzi vyuoni, hawa wanaweza kutumiwa notes na wakufunzi kwa mtindo wa SLIDES na VIDEOS na kusambaza kwa wenzao na hivyo muhula wa masomo kuendelea kama kawaida.

Kwa wale wenye mikopo (BOOM) wanaweza kupewa nusu kwa mfano sh.250,000/= ili zingine wapewe wakirudi vyuo baada ya kusaini.

Nimeshuhudia vyuoni baadhi ya wanafunzi hawahudhurii darasani ila wanachukua slides na kujisomea na wamekuwa wakifaulu hata kuzidi wale wanaohudhuria.

Vyuo vitakapofunguliwa, wakufunzi wanaweza ku-HIGHLIGHT kile walichofundisha na baadae kutoa TEST ONE.

Ili kiepusha msongamano, usumbufu katika vituo vya mabasi, na kukosa usafiri, siku shule zikifunguliwa, wapishane kwa wiki moja. Kwa mfano, wanaweza kutangulia wa shule za msingi na sekondari na baada ya wiki moja wafuatie wa vyuo vya kati na vyuo vikuu.

Wanafunzi wa vyuo vikuu wana viherehere hasa wakati wa uchaguzi, hivyo si vyema uchaguzi ukawakuta wakiwa vyuoni.
Ea in the e in

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataweza kweli hawa wanyoa viduku?

Muda wote wako instagram na facebook wanaangalia video za ambaruti na ponografia.

Ukiwaambia kuhusu online learning watageuka kuwa wakali kama mbogo aliyejeruhiwa!

Mnawaonea tu. Hawa wanyoa viduku wanachoweza ni kudanlodi video za ngono tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo nchi yako mkuu. Just pray for it. God will intervene
Kwa kweli inahitajika divine intervention, kama tunaweza kutumia matrillioni kununua ndege cash, hivi tunashindwa kutoa laptop kwa wanachuo as a special requirement kwa ajili ya kuwarahisishia shughuli zao za kujifunza.
 
Kwa kweli inahitajika divine intervention, kama tunaweza kutumia matrillioni kununua ndege cash, hivi tunashindwa kutoa laptop kwa wanachuo as a special requirement kwa ajili ya kuwarahisishia shughuli zao za kujifunza.
Ghadafi na jangwa lake aliweza kutoa mpaka mahari.
 
wakati nipo chuo mwaka wa kwanza mwaka 2000 tulikuwa tunafundishwa somo la kompyuta application, tena tulikuwa tunachekana sana watu wanavyopata shida kutumia mouse. Chuo kilikuwa kina library ya kompyuta ambayo iilikuwa connected na internet hivyo wanachuo wakawa wanaenda kutumia na ku surf mitandao na hivyo kuendelea kuwapa uwezo zaidi wa kutumia TEHAMA. Inanisikitisha sana kusikia kwamba miaka 20 mbele mwanachuo hawezi kutumia teknolojia ya TEHAMA na wala hajawezeshwa kumiliki laptop na smart phone/tablet kwa ajili ya shughuli zake za kujifunza. Hii nchi tunatia aibu, utaishia kusikia huyu kapewa milioni 200 ili akaunge mkono juhudi....what a mess!!
Shida ipo kutikana na uelewa was viongozi wetu na wananchi wa nchi hii,,tuwashinikize hawa viongozi watende sawasawa na hitajio la wananchi,,ni aibu kusikia kila siku kwamba huyu kaunga JUHUDI mara huyu kalipwa million mia tatu kama kishawishi cha kuhama chama kwenda kuunga juhudi. Tuwekeze kwenye vitu vya msingi kama nchi na vitu vya msingi kwa ajili ya kuwekeza ni ELIMU na UTAFITI
 
Utakuwa hujapata habari ya kile kinachojili kule mpaka wamelalamika. Hiyo unayosema ya dollar 10,000 basi itakuwa mikakati ya kuongeza huduma. Hata Trump mwenyewe amelalamikia hiyo hali!
Ila new York hakuna manyeusi wengi kihivyo
 
Hakuna na haitotokea na kama ikitokea itakuwa kwako.
Nyie msioamini ndo mnaturetea uchuro. Hivi unataka kuniambia Tz ni smart kuliko Marekani, Italy , S.A basi tusiende mbali hapo kenya wametuzidi Mbali mno unajua kwanini wanakufa , wamehisi Corona ni Mkubwa kuliko Mungu wakafunga Makanisa na Misikiti watu wakashindwa kumuomba Mung hapo tu

Siombi na naomba isiwe hivyo, lakini tatizo ni kubwa sana kuliko tunavyofikiria, kuomba ni sawa, ila jitihada za kibinadamu pia zinahitajika kupunguza madhara.
 
Kwa kweli inahitajika divine intervention, kama tunaweza kutumia matrillioni kununua ndege cash, hivi tunashindwa kutoa laptop kwa wanachuo as a special requirement kwa ajili ya kuwarahisishia shughuli zao za kujifunza.
Na wagonjwa wanazidi kuongezeka pamoja na vifo
 
sidhani kuna mzazi atafurahia kurudisha shule wanae sasa, it is too soon!! at least tuone kwanza data zetu for a month more, na hasa hawa wagonjwa wanaotibiwa sasa wakipona itakuwa safi sana. turudi zero with extremely tight entry to Tanzania, mimi bado siamini sana kama tumedhibiti ipasavyo uingiaji wa waleta Coronavirus mipakani na Airport hadi nisikie JWTZ wamechukua kazi hiyo, but wenyewe wakiamua shule zifunguliwe tutawapeleka shingo upande!
Hali imeshakuwa tete, tuzidishe maombi
 
Nashauri shule na vyuo viendelee kufungwa lakini kwa upande wa vyuo vikuu, wakufunzi waanze kufundisha kwa njia ya mtandao.

Hii inawezekana hasa kwa masuala ya theory, na practical zinaweza kufanyika siku wakirejea vyuoni. Tutumie mitandao kuwafundisha kwa vile wapo majumbani.

Kwa kuanzia, kuna wawakilishi wa wanafunzi (CRs) na viongozi wa wanafunzi vyuoni, hawa wanaweza kutumiwa notes na wakufunzi kwa mtindo wa SLIDES na VIDEOS na kusambaza kwa wenzao na hivyo muhula wa masomo kuendelea kama kawaida.

Kwa wale wenye mikopo (BOOM) wanaweza kupewa nusu kwa mfano sh.250,000/= ili zingine wapewe wakirudi vyuo baada ya kusaini.

Nimeshuhudia vyuoni baadhi ya wanafunzi hawahudhurii darasani ila wanachukua slides na kujisomea na wamekuwa wakifaulu hata kuzidi wale wanaohudhuria.

Vyuo vitakapofunguliwa, wakufunzi wanaweza ku-HIGHLIGHT kile walichofundisha na baadae kutoa TEST ONE.

Ili kiepusha msongamano, usumbufu katika vituo vya mabasi, na kukosa usafiri, siku shule zikifunguliwa, wapishane kwa wiki moja. Kwa mfano, wanaweza kutangulia wa shule za msingi na sekondari na baada ya wiki moja wafuatie wa vyuo vya kati na vyuo vikuu.

Wanafunzi wa vyuo vikuu wana viherehere hasa wakati wa uchaguzi, hivyo si vyema uchaguzi ukawakuta wakiwa vyuoni.
Mawazo ni mazuri lkn kwa nchi yetu ni ngumu kutekelezeka kwa kuwa wanafunzi wengine hawana vitendea kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom