Hapo kwenye new world order mnamaanisha nini!??
 
Sasa ndugu yetu Magufuli ametukimbia Dar es salaam na amekimbilia mafichoni huko kwao chato akijua kuwa kule corona haiwezi fika,kwa nini hajakaa na sisi DSM atufariji na ashirikiane na viongozi wengine kusaidia janga hili?
Kwani Tanzania ni Dar tu?
Rais yupo kwenye mapumziko ya pasaka,acha nongwa
 
Sawa job seeker!
 
Akishakutwa na corona mkamweka kslantini je wale ambao aliishi nao alikotoka je?
 
Katika hili mimi nipo na rais Magu
Mafua hayajawahi kumsumbua mtu mweusi
New World Order inataka kutupelekesha ili wauze sanitization chemicals na masks
Mitusi ruksa
Hao waliokufa na waliokarantini tz ni weupe?
 
post haina mashiko... utaanzaje kufananish Musa wa biblia na Magufuli ww... Mambo ya mungu hayausiani na hii kitu
 
Thubutu Magufuri afanane na Musa? We shika adabu yako marijuana na Musa wapi na wapi?
 
 
Wazo zuri
 
Nimesoma tu huko mwisho... Hiyo Email ya nini ndugu yangu?
 
updates ...

hadi kufikia leo hii tarehe 12 April, Tanzania bado inaongoza kwa "Fatality Rate" katika ukanda wa EAC kama takwimu zinavyoonekana hapa chini.

in fact, Tanzania ipo juu mara 2 zaidi ya Kenya and also ipo above the world average of around 6%.

Tanzania 3/32 = 9.4%
Kenya 8/197 = 4.1%
Rwanda 0/102 = 0%
Uganda 0/49 = 0%
Burundi 0/5 = 0%

nakazia tena ushauri wangu kwa serekali yetu kufanya monitoring ya takwimu hii kwani ndiyo kipimo muhimu cha uwezo wa nchi kukabiliana na hili janga especially kwa hizi nchi zetu ambazo uwezo wake kupima watu wengi ni mdogo.
 
Moja ya mabadiliko makubwa yatakayo baki hata baada ya corona kupunguza mashambulizi ni tabia ya kunawa mikono. Usishangae kukuta kila seat ya basi la luxury kuwa na chupa ya sanitizer. Hata kwenye ndege sanitizer kutolewa kwa wasafiri.

Kiwango cha malipo ya kadi ya benki bila kuweka nywila kuongezeka. Malipo ya contact less yameonekana kuwa salama zaidi katika maambukizi.

Madukani mengi yatafungwa kwa kukosa pango na mishahara ya wafanya kazi. Manunuzi mengi yatafanyika ki electronic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…