Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Unaanzaje kufunga mipaka wakati 60% unaimport?Kwanza , niliposikia tu corona inaanza kusambaa ningefunga mipaka , hakuna kutoka Wala kuingia
Then , ningehakikisha Nina akiba ya vifaa vya kutosha kwa ajili ya kupima na kuzuia corona
Lakin , kubwa Ni hiyo ya kwanza , ningesambaza majeshi yangu mipakani Hadi vichochoroni
Sent using Jamii Forums mobile app