Mtoto wa kaka yangu wa kwanza (First born) amebamiza 'A' za kutosha za darasa la nne mpaka nimeogopa sana, tutafute pesa Elimu nzuri ni gharama

Watakutana na Wakwangu wakiwa na Bahasha kutafuta kazi ya mshahara wa laki tano.

Wako kasoma kwa milioni 50 wangu kasoma kwa 1M tu.
 
Kama kulinganisha tulinganishe wa Feza na wa St Marian. Wa mbagala na wa Mvomero.

To be fair
 
hakuna kitu kama hicho... mdogo wako namjua kalamba 4 ya 30 tuseme ukweli
Hahaaaa wueeeh!
Bahati mbaya siwezi weka evidence never.
Na hunifahamu kamwe,acha drama.
 
Tatizo watanzania tumeshakariri kama umasikini ni sifa lakini uongo mbaya hakuna mtu asiyetaka mwanae asome pazuri
 
Tatizo watanzania tumeshakariri kama umasikini ni sifa lakini uongo mbaya hakuna mtu asiyetaka mwanae asome pazuri
Hapa watu wanaongea tu, ni sawa na mtu mwenye IST aseme gari yake na Cruiser VX zote sawa tu.
 
Hakuna ubuyu Wala kachori [emoji58]
 
St Kayumba tatizo linaanzia kwa waalimu wengi sana nimbumbumbu kwa sababu ya mifumo mibovu ya elimu tuliyonayo.
Na ujira kidogo wanao pata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…