Tetesi: Muda wowote kuanzia sasa Samia ataachana na DP World!

Vipi tamko la ChiChiEmu, bado
 
Ndio maana tunapigania katiba mpya!
 
Haya

Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela 😄😄😂🔥
Hilo gari la hela liache lipite tubaki na Bandari zetu! Kazi iko kwa Samia na genge lake jinsi watakavyozirudisha hizo $$ za waarabu walizokomba! Itabidi lazima wazitapike!!
Nchi haiwezi kuruhusu ndege ya Rais tulioinunua kwa "KULA MAJANI" itumike kama collateral kwenye ufisadi huu!
 
 
Hilo gari la hela liache lipite tubaki na Bandari zetu! Kazi iko kwa Samia na genge lake jinsi watakavyozirudisha hizo $$ za waarabu walizokomba! Itabidi lazima wazitapike!!
Wahenga walisema hela ya hongo ni tamu pale tu unapotakiwa usiirudishe!
 
Hata Ikulu hapamfai tena nako angeachia tu tujue Moja, nchi imemshinda mama wa kudemka
 
nauona ukweli wa uzi huu
Sasa ni rasmi. Baada ya Kanisa kuzungumza na Wahaini kuachiwa bila kufika mahakamani.... Ni swala la muda tu utajua ni jinsi gani wametumia kujitoa kwenye mkataba. Maana hata ile team ya Chongolo na Bwana mdogo Slaa imeingia mitini kimya kimya siku nyingi tu.
 
Akiwatosa ajue atalipa mabilioni ya dola na warudisge chao 1T wamesunda.....muda mwalimu mzuri
Aisee bora kulipa kuliko kuuzwa...No way! Anyway, ili walipwa 1Trilion waonyeshe kwanza waliwekeza nini hadi zikafika hizo.., ofcourse tutalipa in lost possible revenues.., ila pia uonyeshe ulichowekeza
 
Aisee bora kulipa kuliko kuuzwa...No way! Anyway, ili walipwa 1Trilion waonyeshe kwanza waliwekeza nini hadi zikafika hizo.., ofcourse tutalipa in lost possible revenues.., ila pia uonyeshe ulichowekeza
Wanafamilia tuna Mzigo mkubwa wa madeni!!!

Mkataba ni Fake na BATILI, atalipwa nani ilhali kiongozi wetu amesaini Kwa niaba ya Tz na Dubiei!!!

Hatulipi sent Tano!!!!

Pesa zetu tunazipata Kwa JASHO, walipe waliotufikisha hapo.

Wabunge wakatwe viinua mgongo Ili kulipa waliyoyapitisha bila tafakuri Ili iwe fundisho Kwa wabunge wajao!!;
 
Hii pesa walipe akina Kitenge, na lile kubwa jinga Zembwela, pamoja na Musukuma na Kibajaji
 
Hii pesa walipe akina Kitenge, na lile kubwa jinga Zembwela, pamoja na Musukuma na Kibajaji
Bunge Zima walimwe viinua mgongo.

Iwe fundisho kuheshimu viapo.

Ukinunua Mali ya wizi Kwa kujua, mhalifu akikamatwa na mmiliki na kupelekwa kituoni, waeza enda kituoni kudai pesa ulomlipa Mwizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…