Mungu anipe, hatimaye nimepata mwanamke mwelewa na mnyenyekevu ni Zaidi ya zawadi.

Mungu anipe, hatimaye nimepata mwanamke mwelewa na mnyenyekevu ni Zaidi ya zawadi.

Mwanamke muelewa
Anajishusha
Anapenda ujifunze
Aisee Nimeokota dodo chini ya mpapai.
View attachment 3221468
Daa! Kwa hiyo alivyokujibu hivi tu ndio imekufanya uone kama umeokota dodo kwenye mpapai au kuna mengine? Kama ni hili tu, unatakiwa kujitathmini uwezo wako wa kufanya Asessment of Human Behavior
 

🤣😂🤣😂😂👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
 
Mwanamke muelewa
Anajishusha
Anapenda ujifunze
Aisee Nimeokota dodo chini ya mpapai.
View attachment 3221468
Mimi niliambiwa nisiende kufanya kazi mkoa penzi ilikuwa tamu sana hapo mjamzito na vipesa vipo akajifungua nipo mkoa mambo akawa mazuri, nilipoacha kazi kurudi Dar ni kaanza choka, ananichukia vibaya ila watoto ananipa furaha maana sina kazi mambo yamegoma, watoto shule naunga na chakula bado natamani kukimbia familia yeye yupo kazini basi manyanyaso ndani
 
Tàtizo huwezi kufirisika, ungekuja na ushuhuda hapa, mimi ni shuhuda ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu,
Kuna mmoja alisema hapendi hata kumsikia.anapumua anapatwa hasira kali.
Tulbaki tunashangaa nakucheka
 

Kifulu

Kabla ya ndoa kila mwanamke ni MTIIFU, NYENYEKEVU, MSIKIVU,ANA SHAURIKA.
Baada ya ndoa sasa! JEURI, KIBURI, UJUAJI, MASHINDANO ndio mtindo wa maisha.

Nikutakie maisha mema na vile vile RIP bro
 
Huyo kwa harakaharaka tu inaonekana mjuaji sana.

Subiri ukimuwekaa ndani ndio utajuta
 
Daah tuna safari ndefu sana yakuwaelewa hawa viumbe .pole kaka
 
Dogo bado mchanga sana. Chukua hii shule;
Alipaswa aseme hivi:
"Nisamehe mume wangu, sikukusudia kukukosea."
Ukiangalia in 6 dimensions hayo maneno yake ya mwanzo ni kama kejeli, sio msamaha.. anasema "kama", so haamini kama kakukosea.
"Ukiwa na Mb nakuomba jifunze" ... Kwa hiyo dogo kuna muda unakuwa huna Mb, si ndio? Sawa.
Maneno "nakuomba jifunze" ni maneno ya mtu mjivuni sana, kimsingi hajakuomba, that's a command brother. Alipaswa aseme "Nitafurahi tukijifunza zaidi kuhusu...." Kwenye kujifunza yeye keshagraduate ndo mana kajitoa, na wewe hamna unachojua, badala ya kuongeza ujuzi anakwambia ujifunze, sivyo? Freshi.
Then neno nakupenda halina hisia kama hajakuita jina zuri. Nakupenda whichi ipo plain ivoo? Haina mayai wala kachumbari 😆.. She had to say "nakupenda mume wangu/mpenzi wangu/kipenzi changu"
Naungana na wadau wanaosema hako katoto ni kajuaji; unyenyekevu zero(0%).
That's your headache, endelea kumeza panado taratiibu, hakunaga aliyekamilika.
 
Back
Top Bottom