Ni huku kwenye maNCHI ya MAJITU MYEUSI tu mbona kwenye Nchi za watu wenye akili Rais akizingua anatupwa LupangoRais yuko juu ya sheria, ni chombo gani kina uthubutu wa kumfanya rais awe chini ya sheria? Fuatilia vizuri idara hiyo imekuwa ikifanya kazi kutokana na utashi wa rais aliyeko madarakani. Na ndio itakavyokuwa baada ya sheria hii, tena itakuwa mbaya zaidi.
Kuna inavyotakiwa kuwa na ilivyo!Kumbe sheria ya Sasa haimpi Rais mamlaka tawi maalumu!!! Sasa inakuwaje baadhi ya viongozi waliopita wanaotuhumiwa kutumia tawi hili maalumu kwa mambo yanayoonekana siyo?
kwa sheria hii hata humu jf tunaenda kufungwa midomo yetu na huenda baadhi yetu wanaenda kupotezwa kusikojulikana.tuungane pamoja 2025 kuwafuta wabunge wote wa kijanai kabla ya hayo kutokea.Ww ni muumini wa sheria za kulinda viongozi wanaokaa madarakani kwa shuruti. Hivyo hakuna la kushangaza hapo. Ila machafuko pekee ndio yataondoa hizi sheria za kulinda watawala ili wafanye watakavyo.
kwa sheria hii hata humu jf tunaenda kufungwa midomo yetu na huenda baadhi yetu wanaenda kupotezwa kusikojulikana.tuungane pamoja 2025 kuwafuta wabunge wote wa kijanai kabla ya hayo kutokea.
Wa mpito anapojizungushia ulinzi.Kama kuna watu wanapewa Uhuru wa kujieleza halafu wanautumia vibaya kutukana viongozi hata wakuu wa Nchi kwa kigezo ni wapinzani hii sheria itaenda kuwadhibiti ipite tu kwa nguvu zote ili tuheshimiane
Sheria nzuri ni KATIBA mpya.Usarama wa taifa kupewa uwezo huo si hatari kwa wanainchi wa kawaida Bari mafisadi"
Na Kama mnavyo jua majizi nimajitu yenye mapesa mengi kiasi kwamba Yana mzidi nguvu mpaka raisi kwenye maamzi ya Kima endeleo
Na raisi akiwauliza Usarama wa taifaHawa watu vipi?
Wana mwambia tunaweza kuwadhibiti Hawa majizi lakini nyuma yao Kuna akina nanii na nanii pale bungeni na wizarani na pale mahakamani Sasa tunashindwa
Nafikiri ndiyo maana samia ameamua kuwapa uwezo Usarama wa taifa kufanya kazi automatically pale ambapo panapaswa kushughulikiwa haraka
Nakisha baadae wakatoa maelezo kwa bosi wao ambaye atakuwa ni raisi tu sio waziri frani Tena wakati waziri huyo ndiye aliye nyuma ya mafisadi nama jizi kwataifa letu
Nina imani mm sheria hii ninzuri isipokuwa kuwe na marekebisho madogo madogo sababu
Tanzania panaonekana Kuna serikari ndani ya serikari
Serikali hiyo inaitwa
SERIKALI YA MAFISADI ISIYO FIKIKA ILIYO JIFICHA NDANI YA SERIKALI YA WANAINCHI KIVULI
kwa hiyo Nanjia pekee nikuiwezesha TISS ili ibaki serikari sahihi isiyo weza kumyumbisha raisi.
Haiwezekani raisi anaongea hili waziri anaongea hili.
Raisi anatoa billion 2 wizara husika inapokea Kisha inatoa million 200 nyingine mfukoni
hukunyuma WANAINCHI hawapati huduma kwa MDA wanaanza kumlaum raisi
Amini nawaambieni Usarama wataifa utakuwa unanguvu ya kufanyia kazi hata maoni yenye Tina mnayo yaweka jf na kuya fanyia kazi kwa vitendo
Usiogope.kwa sheria hii hata humu jf tunaenda kufungwa midomo yetu na huenda baadhi yetu wanaenda kupotezwa kusikojulikana.tuungane pamoja 2025 kuwafuta wabunge wote wa kijanai kabla ya hayo kutokea.
Punguza upumbavu watu wanapojadili mambo ya kitaifa kwa faida ya vizazi...au wewe Mbowe akisema ndiyo kasemekia kila mtu?Mdude Shida yako iko wapi ? Si mpo kwenye maridhiano na Serikali??? Au hii serikali sikivu imeanza kuwateka tena kama ile serikali ya ki dikteta?? Mh. Freeman Aikael Mbowe alisema msimseme vibaya mama. Tulieni tu mambo mazuri yanakuja
Ana vimelea vya UDIKTETA uchwara.Mama anawalinda wenzake wa zamani.
Kina bashite wameanza kulindwa kifaulo faulo kabla ya hiyo sheria.
Sasa ndiyo tutegemee vimungu watu.
Sheria mbaya kabisa hii.
Tangu wakati wa Hayati Mkapa! Na ndiye aliyefanya marekebisho hayo.Tangu lini TISS ilikuwa ikiripoti kwa waziri? leo ndo naskia hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bashite, Sabayau,kingaiii, ziro nk nk wanajulikana.Huwezi kumwekea kinga mtu ambaye hajulikani, hii itakuwa ni kituko cha karne.
Ccm wameshaamua hamuwezi nyie kuzuia.Kama ni musawaada tu, wananchi tusikubali upite kuwa sheria.
Kujulikana kwao na kwenyewe kwa mbinde, au hii ni kufuatia kifo cha jasusi mbobezi ikaonekana hakuwa na kinga....Bashite, Sabayau,kingaiii, ziro nk nk wanajulikana.