MwanaHalisi: Deni la Taifa lakadiriwa kuongezeka na kufikia Trilioni 104

Lakadiriwa kufikia takribani Trilioni 104

Ni ongezeko la zaidi ya bilioni 600 kwa mwezi

Kila Mtanzania anadaiwa karibu milioni 1.7


View attachment 2779419
Wala hakuna shida,deni linaliowa hata lingefika Trilioni 900 kinaendelea kulipwa.

Cha muhimu hakuna mtu atakukopesha kama huna uwezo wa kulipa.

Mwisho Deni lenyewe ukilinganisha na GDP ratio hata 50% Bado ilhali Ukomo ni 75% na Kuna Nchi deni lao ni zaidi ya 100% ya GDP na maisha yanasonga.Deni la Nchi sio sawa na deni la mtu au taasisi
 
Sisi ni matajiri, Jiwe 2020 [emoji16]
 
Vipo vyanzo vya kutosha kuiingizia hii nchi pesa za kutosha, kabla hata ya kuzungumzia uvujifu wa mapato kwa kuondoa matumizi yasiyo ya lazima. Kinachohitajika ni akili tu kama za Wa-Israeli wanaoishi jangwani.
 
Ukumo wa madeni ya kimataifa huwa unaamuliwa na wanasiasa, pia wapo watu wanaweza kukukopesha kwa makusudi kabisa wakijua hutaweza kulipa huo mkopo.
 
Mi sijui mwesho wa haya mambo utakuwaje! Tuna lundo la madeni lkn ukiuliza nini tumefanyie hizo hela huwezi pewa jawabu.
 

Imeongezeka kwa shilingi Trilioni 30.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…