Mwananchi anyimwa fursa ya kuuliza swali kwa kuanza swali la kusema waliosaini sio Watanganyika

Hahahaaa!.Watoto wazuri kama hawa wanapatikana CCM pekee.View attachment 2675685

ukishaoma kijana mdogo anajihusisha na mambo ya CCM tambua huyo ni opportunistic na ni mpenda dezo dezo.

Huwezi ukakuta kijana hardworker anayeamini kwenye kufanya kazi kwa maarifa makubwa na bidii ili apate kipato akawa anajishughulisha na mambo ya CCM.

CCM ni mali ya mabwanyeye kwa sasa ambao ndio wanamiliki kila kona ya uchumi kupitia ufadhili kwa CCM iendelee kuwa chama dola.
 
Jana kulikuwa na futuhiiiii ,Sasa Mimi nilimshangaa msigwa ,umeita wananchi waje kuuliza maswali halafu unachagua watu hatareeeeee,halafu jamani hivi ndugu IZI alipewa majibu yake maana alikuwa na maswali Kama 100
 
Tuwaachie wanasheria ww na Mimi ni wapiga kelele tu
 
Tanzania ni moja
 
Sasa ukianza kuomba machafuko huko ni ubinafsi kujali madaraka zaidi lakini nakuhakikishia hata hao unadhani Chadema ndio wataleta maendeleo hakuna lolote maana hata wao kupeana madaraka tu ndani ya chama shida, walijaribu watu kugombania vyeo ndani ya chama kilichowakuta tunajuwa. CCM wewe ikatae lakini wana watu tena watu waliokunywa maji ya chama. Kushinda % ngapi siwezi kusema ila bado hakuna chama cha kuwatoa CCM kinguvu au kisera. Humo ndani ya wapinzani tu mapandikizi ya CCM kibao sote tunajuwa.
 
Chadema gani Mimi Kwa akili zangu timamu cwezi chagua wapinzani wanao ombea machafuko
 
 

Attachments

  • E165DFD8-4A1B-40FF-8DCE-664694692C45.jpeg
    40.1 KB · Views: 1
Sipo upande wowote, lakini kwa akili zangu ndogo sana ninazozimiliki, naona Msigwa alikuwa sahihi.
 
Chadema gani Mimi Kwa akili zangu timamu cwezi chagua wapinzani wanao ombea machafuko
Kabisa mtu yoyote anayehuburi machafuko au chama chochote tusiwavumilie na serikali iache kuvumilia ujinga huu. Tufanye mijadala lakini fujo ni RED LINE. liko lile li mwanamke mmoja Sarungi yeye anatutakia fujo tu sababu wana passport za uraia wa mama zao huko Sweden sijui. CCM imekuwa mbaya leo ila hakuona hayo wakati Baba yake yuko serikalini na wamekula matunda ya nchi hii ila hajui kutesa kwa zamu. Yule atakuwa kuna machungu Baba yake kapitia baada ya kupigwa chini sasa kachukulia issue personal. Hata Tz hayupo sijui kajificha Nairobi huko arudi to Dar aone atakavyo shughulikiwa. Kesi ya uchochezi na uchunguzi haujamalika ataoza ndani.
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜…πŸ˜…Ndo Raisi hakuna kitu utafanya ,we ni wa kuongozwa tu .
Ni kweli sitegemei watanzania 60m wote tutakuwa kwenye nafasi yake. Lakini haniongozi kwa ridhaa yangu hiyo inatosha kabisa, maana wala sijuvunii kuwa rais wa nchi masikini.
 
Hamna unachojua ndo maana huna jibu kaangalie kipindi TICTS inafanya kazi kweny zile gati je bandari ilikuwa imeuzwa?
Ninachojua bandari za Tanganyika zinauzwa na Mzanzibari. Hicho unachojua ww hakina maana yoyote kwetu wengi.
 
Mitanganyika mi myehu
 
Ni kweli sitegemei watanzania 60m wote tutakuwa kwenye nafasi yake. Lakini haniongozi kwa ridhaa yangu hiyo inatosha kabisa, maana wala sijuvunii kuwa rais wa nchi masikini.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 

Je asipoleta ufanisi? Ndo hapo kipengere cha muda kinakua na umuhimu. Na kuhusu luzuku kwa hospital za kanisa ni kwa ajili ya serikali kua na uwezo wa ku control bei za matibabu kwenye hizo hospital unategemea kwa mgonjwa anaeitaji kufanyiwa operation ata ya mguu tu milioni moja inatosha kwa hospital binafsi? Mkitaka kujua uchungu wa maisha kwa wenye wagonjwa na wagonjwa wenyewe basi hizo hospital Za kanisa ambazo zipo nyingi tu Tanzania ziwe 100% private. Ujue ni biashara hiyo hakuna kupangiana bei Tena. OP tu unaambiwa milioni 10 ndo utajua hujui
 

Hujui wanaungwa mkono kwa asilimia ngapi maana hakuna mwanaccm mwenye kutaka uchaguzi wa halali kwani ukweli wanaujua. Machafuko pekee ndio yatafanya Tanzania kuongozwa na viongozi wenye ridhaa ya wananchi. Huo ubinafsi ungewaambia ccm waheshimu uchaguzi tujue ukweli.

Ccm kuwa na watu waliokunywa maji ya bendera hakuna anayekataa wala kwetu sio tatizo kabisa, ndio maana tunataka uchaguzi wa halali ili waongeze hayo maji ya bendera. Ni kweli hakuna wa kuitoa ccm madarakani kwa nguvu, maana bado vyombo vya dola ndio roho yao. Hapo ndipo tunaposhuhidia chaguzi za kihayawani ili tu ccm ibaki madarakani.

Linapokuja suala la kutolewa kwa sera hilo liko wazi wanatoka kirahisi mno, ndio maana wanategemea mbeleko ya vyombo vya dola tu kusalia madarakani kwa shuruti. Ni mtu mjinga tu anaweza kuamini kuwa CCM iko madarakani hasa miaka hii 15 iliyopita kwa sera. Hicho kizazi cha kuamini sera za CCM kilishapita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…