Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi maskini wa JF tutasimangwa mpaka tukome 🤣😂Kazi imeanza tena tutegeme leo utaweka thread ngaapi
Utajir wa maandishi uho
Haka ka msemo huwa kananiacha hoi🤣Tafuta hela masikini wewe
Naomba elfu 50 tu 😜Mwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
Lazima akurecord akutupie vairoNaomba elfu 50 tu 😜
We unapakwa mafuta halafu unapewa hela kuja kuziringishia social media, we bwabwa.Mwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
Uwiii 😅😅😅Lazima akurecord akutupie vairo
C unaona hata akitoa msaada.
NAKAZIA ✍️Inawezekana ww unatoa jicho la tatu tofauti na wanaume halisi
Akikupa ni TAG 🏃🏃🏃🏃Naomba elfu 50 tu 😜
Unakubali vipi kuwa masikini kirahisi hivyo yaani in reality niwe maskini 🤣🤣🤣 hadi mtandaoni? jimilikishe magari na majumba, yaani kuwa tajiri hewa wa mitandaoni kama kawaida 🤣🤣
Mental health iz real.......Kila mtu atachanganyikiwa ni swala la mda
Ugonjwa wa akili unazid kupamba moto
unadhani kila mtu anafuga mijoka kama wewe plus kukatwa mavidole mguuni nyaaambaaaaffffffff , huna moral authority ya kutukana watu wewe kima wenzio wana hustle kweli sio kutemewa hela na majoka Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.Mwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
Dokta taratibu,. Wasisikie majirani nje huku😂Yaan afrika maajabu hayajawaii kuisha..
Una kuta jamaa kaunga mbs za jero..yupo sebuleni kwa shemeji yake ananyanganyana remote na watoto wa shemeji.
Anakuja kujifariji humu...mwenye utajiri/ pesa sio malimbukeni.
Huwezi kuta ANAPIGA picha na PESA 😊 huwezi kuta ana show off za kifala fala..maskini akipata matako hulia mbwataa
YOU'RE A SUCKER !