zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
hela gani tena mkuuTafuta hela masikini wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hela gani tena mkuuTafuta hela masikini wewe
Tupunguze sauti kabisaa 😊Dokta taratibu,. Wasisikie majirani nje huku😂
Hako kajamaa kanajiita tu hilo jina wala huyo sio Chief mwenyewe,Kumbe hii takataka ipo humu
Siku ikibidi kuonana na Wana Jf physically unaanza kuwakwepaaa ☺️☺️☺️Unakubali vipi kuwa masikini kirahisi hivyo yaani in reality niwe maskini 🤣🤣🤣 hadi mtandaoni? jimilikishe magari na majumba, yaani kuwa tajiri hewa wa mitandaoni kama kawaida 🤣🤣
Hahahah kwa hiyo walitoa hela waunganishwe na frimason?hii nchi bwana yaani mtu asifikiri afanye nini ili 100K izae 100K ingine anaenda kutumia mtu amuunge na ujinga.Lakini nilisikia mtandaoni watu wakilalamika kuwa umewatapeli hela.
Kwamba uliwadanganya utawaunganisha na chama cha FREEMASON (Kiingilio ilikuwa 100k). Ila cha ajabu uliwapiga hela, Je., Kweli wewe ni tapeli au wanakuzushia?🤔😋.
Umenena mkuu huyu jamaa ni pisikali.Hivi unajiita mtoto una miaka mingapi? Au unamaanisha mtoto ile ya mwanamke mzuri
😁😅 Mkuu Chief Godlove anaweza kukushitaki kwa Mods akidhani umemtukana mama yake maana yeye na kiingereza ni kama moto na maji Katu hawakai pamoja.you must be the one.
Ana tabia fulani ya kubandika shilingi elfu 10000 kwenye mbao Kila upande, sasa sijui mbao zikiisha atafanyeje.Yaan afrika maajabu hayajawaii kuisha..
Una kuta jamaa kaunga mbs za jero..yupo sebuleni kwa shemeji yake ananyanganyana remote na watoto wa shemeji.
Anakuja kujifariji humu...mwenye utajiri/ pesa sio malimbukeni.
Huwezi kuta ANAPIGA picha na PESA 😊 huwezi kuta ana show off za kifala fala..maskini akipata matako hulia mbwataa
YOU'RE A SUCKER !
Ongezea hapo “Tena Ya Kwenda”Umenena mkuu huyu jamaa ni pisikali.
Jamaa ni pisikali ya kwenda😁😅Ongezea hapo “Tena Ya Kwenda”
Nkajua mwalimu kakufungia ndani sijakuona kitambo kweliGod ulisema nikiacha library na kuuza cd ni biashara gani nyingine naweza kufanya mkuu nikawa na pesa kama wewe
Tafuta hela masikini weweHako kajamaa kanajiita tu hilo jina wala huyo sio Chief mwenyewe,
Haka katoto kamepigika na maisha hivyo njia pekee iliyobaki ni kujifariji kwa maandishi tu,
Kana ID's kibao hapa JF,halafu kila mara kanapigwa spana hapa kisha kanabadili ID tena,
ChristopherPaul15 ilipigwa spana haitumii tena,kuna ile ID nyingne sijui Arsenal shooter na nyingine kanajiita Football,
Kifupi haka kapimbi kanajifurahisha tu,hivyo msikachukulie serious sana,ila ubaya ni kwamba anachafua jina la Chief mwenyewe.
Tafuta hela masikini wewe watoto Sasa hivi tunalala na pesaKumbe bado mtoto.. Mdogo! Halafu una pesaa mimi nilijua una fedha.. Basi walishasema mtoto halali na hela.. Sembuse pesa..!!
Hatare SanaaAna tabia fulani ya kubandika shilingi elfu 10000 kwenye mbao Kila upande, sasa sijui mbao zikiisha atafanyeje.