Mwanaume unakuwaje masikini wakati Mimi mtoto mdogo Nina pesa

Mwanaume unakuwaje masikini wakati Mimi mtoto mdogo Nina pesa

Mwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
umekunywa ponbe gani? siyo kwa ulevi huo.
 
Dada yako kaupenda mkuyenge sio pesa kenge wewe!
20241225_164900.jpg
 
Mwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
Maskini utamjua tu, anaeringa na pesa za shemeji utamjua tu.

Nani kakudanganya pesa ni kipimo pekee cha utajiri?

Pesa kiasi gani ndio unakuwa tajiri?

Je, Mo na Bakhressa nao ni matajiri kwa kiwango chako?

Kwa ujumla, unafaa kupuuzwa
 
Tafuta hela masikini wewe watoto Sasa hivi tunalala na pesa
Mimi hela nilishazikuta sikutafuta na kwa sasa nina Fedha siyo hela. Zingatia neno Fedha.. Na siyo kuwa siwezi kufanya show off au kuji, proud kama wewe mtoto, ila sijaona faida yake..
 
Mimi hela nilishazikuta sikutafuta na kwa sasa nina Fedha siyo hela. Zingatia neno Fedha.. Na siyo kuwa siwezi kufanya show off au kuji, proud kama wewe mtoto, ila sijaona faida yake..
Tafuta hela masikini wewe
 
Maskini utamjua tu, anaeringa na pesa za shemeji utamjua tu.

Nani kakudanganya pesa ni kipimo pekee cha utajiri?

Pesa kiasi gani ndio unakuwa tajiri?

Je, Mo na Bakhressa nao ni matajiri kwa kiwango chako?

Kwa ujumla, unafaa kupuuzwa
Tafuta hela masikini wewe
 
Mwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
Mimi tajiri nitamuoa dada yako alafu nimpe mimba ni mtelekeze
 
Mwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
💯💯💯
 
N
Hako kajamaa kanajiita tu hilo jina wala huyo sio Chief mwenyewe,
Haka katoto kamepigika na maisha hivyo njia pekee iliyobaki ni kujifariji kwa maandishi tu,

Kana ID's kibao hapa JF,halafu kila mara kanapigwa spana hapa kisha kanabadili ID tena,
ChristopherPaul15 ilipigwa spana haitumii tena,kuna ile ID nyingne sijui Arsenal shooter na nyingine kanajiita Football,

Kifupi haka kapimbi kanajifurahisha tu,hivyo msikachukulie serious sana,ila ubaya ni kwamba anachafua jina la Chief mwenyewe.
Niyeye bwana,acha kupotosha
 
Back
Top Bottom