digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tajiri Mbona hujaweka 😜Naomba elfu 50 tu 😜
To be real ni Jambo jema Sanaa 😊 unakuta mtu hataki kuonana na watu sababu ya kujimwambafy humu jukwaani..Ikitokea mmeonana wapige kiswahili hakuna namna 🤣🤣
Kwani wewe una pesa gani jamaa wakati Elon musk anakuzidi ebu tuondolee uchafu wako, wakati musk mwenyewe Hana nyodo kama zakoMwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
Ni kweli mkuu ila ndio vile inabidi kunata na biti mi mwenyewe tabia ya kumiliki mali hewa nijifunzia humu 🤣To be real ni Jambo jema Sanaa 😊 unakuta mtu hataki kuonana na watu sababu ya kujimwambafy humu jukwaani..
Tafuta hela masikini weweMaskini wewe, unaenda kuomba kwa Lugumi😂😂
Tafuta hela masikini weweKwani wewe una pesa gani jamaa wakati Elon musk anakuzidi ebu tuondolee uchafu wako, wakati musk mwenyewe Hana nyodo kama zako
Una mke kwanza tuanzie hapoMwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
Mbona umemuomba hela ndogo sana, maana hiyo ni ya kupigia kiwiNaomba elfu 50 tu 😜
Tafuta hela masikini wewe
Wacha ufala demu wa LugumiTafuta hela masikini wewe
Tafuta hela masikini weweWacha ufala demu wa Lugumi
Mimi mwenyewe namiliki gari hewa..nyumba hewa.. nyumba ninayo 🏃🏃😅😅Ni kweli mkuu ila ndio vile inabidi kunata na biti mi mwenyewe tabia ya kumiliki mali hewa nijifunzia humu 🤣
Eee Bwana. Kuna watu wamelia sana, Wanadai wamelizwa na jamaa.Hahahah kwa hiyo walitoa hela waunganishwe na frimason?hii nchi bwana yaani mtu asifikiri afanye nini ili 100K izae 100K ingine anaenda kutumia mtu amuunge na ujinga.
Acha waibiwe tu hao nyang‘au waliopewa akili na hawazitumii.
Hahahahahahahahahaha😂😅😅😅😅👐Siku ukijua ya kuwa huku sio tiktok wala FB...utaacha huu upumbavu wako!
Huku hakuhitaji followers, kunataka akili