Mwanaume unakuwaje masikini wakati Mimi mtoto mdogo Nina pesa

Mwanaume unakuwaje masikini wakati Mimi mtoto mdogo Nina pesa

Mwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
Kwani wewe una pesa gani jamaa wakati Elon musk anakuzidi ebu tuondolee uchafu wako, wakati musk mwenyewe Hana nyodo kama zako
 
Mwenye hela uwa hana haja kuongea tena kwa kutamba,,hela ni zako wewe,na tambua utajiri kwa mwanadamu ni afya na furaha,wala si hayo makaratasi au vitu!!.
 
Mwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
Una mke kwanza tuanzie hapo
 
Tafuta hela masikini wewe

Utajiri wako ambao unatumia nguvu kubwa ujulikane, unakusaidia nini? Toka tukutane kwenye hizi njia za uchochoroni usiku nimekutoa kwenye list ya matajiri. Sijui ulikuwa unafanya nini kwenye barabara zetu 😂 😂 😂 😂
 
1735269169326.jpg
 
Hahahah kwa hiyo walitoa hela waunganishwe na frimason?hii nchi bwana yaani mtu asifikiri afanye nini ili 100K izae 100K ingine anaenda kutumia mtu amuunge na ujinga.

Acha waibiwe tu hao nyang‘au waliopewa akili na hawazitumii.
Eee Bwana. Kuna watu wamelia sana, Wanadai wamelizwa na jamaa.
Eti Godlove aliwaambia atawaunganisha na FREEMASON🤣🤣🤣
ILA CHA AJABU ALIYEYA NA HELA ZAO.
 
Back
Top Bottom