Mwanaume unakuwaje masikini wakati Mimi mtoto mdogo Nina pesa

Mwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
We unapakwa mafuta halafu unapewa hela kuja kuziringishia social media, we bwabwa.
 
Mwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
unadhani kila mtu anafuga mijoka kama wewe plus kukatwa mavidole mguuni nyaaambaaaaffffffff , huna moral authority ya kutukana watu wewe kima wenzio wana hustle kweli sio kutemewa hela na majoka Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
 
Dokta taratibu,. Wasisikie majirani nje huku😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…