Mwanaume unakuwaje masikini wakati Mimi mtoto mdogo Nina pesa

Mwanaume unakuwaje masikini wakati Mimi mtoto mdogo Nina pesa

Mwanaume unakuwaje masikini yaani unalialia njaa kabisa na midevu Yako unataka sisi vidume wenye pesa tukuhurumie yaani dada yangu hawezi kuolewa na mwanaume lofa sababu ni mkosi kwenye familia yaani ukoo wetu atakua kaupaka Mavi
Hela za masharti, Bora kufa maskini unaweza kumjibu Mungu kuliko pesa zako ambazo ni asilinia 150 kuingiza kuzimu.
 
Haka kajamaa katakuwa kanatafunwa na mtu mjini, mashoga wanaoliwa na wazee ndiyo wenye tambo za kihivyo, huwezi kumsikia Davis Mosha au yeyotr ambaye ni true hustler akiandika uxenge uxenge kama huyu choko, utakuwa umeshapakuliwa usiku kucha asubuhi umelipwa vi ngawira kidogo, ndiyo hivyo unatumia kuwatukana wanaume rijali wanaotafuta kwa jasho lao, you must be the one.
 
Yaan afrika maajabu hayajawaii kuisha..
Una kuta jamaa kaunga mbs za jero..yupo sebuleni kwa shemeji yake ananyanganyana remote na watoto wa shemeji.
Anakuja kujifariji humu...mwenye utajiri/ pesa sio malimbukeni.

Huwezi kuta ANAPIGA picha na PESA 😊 huwezi kuta ana show off za kifala fala..maskini akipata matako hulia mbwataa

YOU'RE A SUCKER !
 
Back
Top Bottom