Ni ibada ya kishetani ya Kikatoli aliyotuletea mtu fulani hapa kwenye nchi yetu.
Wakristo wanaamini kuwepo kwa huo moto na kuwaka kwake kunamaanisha Yesu yupo hapo, kwa hiyo tunazungushiwa nchi nzima na miradi inazunduliwa kwa uwepo wa Yesu.
Hii nchi tunaingizwa kwenye kufuru tukitaka tusitake, huo ndiyo Ukristo na hizo ndiyo sababu za watu fulani kutafutiwa "utakatifu" wasiokuwa nao.
Kuwasha mwenge sijuwi, ulete tumaini sijuwi nini, zote ni ibada za Kikristo, hakuna zaidi. Kuna tumaini linaletwa na moto? moto unaunguza tu.
Waislam jiepusheni nao huo mwenge, mnaabudishwa kiakafiri mkikata msitake bila kujijuwa.
Soma kuhusu, "Sancturay Lamp", na ushahidi huu hapa:
Christian churches often have at least one lamp continually burning before the tabernacle, not only as an ornament of the altar, but for the purpose of worship. The General Instruction of the
Roman Missal in the Catholic Church, for instance, states (in 316):
"In accordance with traditional custom, near the tabernacle a special lamp, fueled by oil or wax, should be kept alight to indicate and honor the presence of Christ." The sanctuary lamp is placed before the
tabernacle or
aumbry in
Roman Catholic,
Old Catholic, and
Anglican churches as a sign that the
Blessed Sacrament is
reserved or stored. It is also used in
Lutheran churches to represent the presence of God. The sanctuary lamp may also be seen in
Eastern Orthodox Churches.\\
A sanctuary lamp in a Roman Catholic church