Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 4,033
- 8,805
Ebanaaeee..nilikuwa nasikia mwenge mwenge..juzi nikasema ngoja nikauone!!!
Nilitegemea nitakuta ni limoto likubwaaaaaaa linawaka eneo lote linakuwa na mwanga.
Picha linaanza tumefika eneo la tukio saa 4 usiku sion hata mwanga wa moto naona tu balbu za umeme. Nikauliza "Oya mwenge umeshasepa? Akinionesha ule pale!!
Wakuu Nilishangaa mnooooo!!! Kamoto kadogo af jamaa wamekazunguka!! Af nilicheka kwa chini chini hadi machozi!!!
Nilitegemea nitakuta ni limoto likubwaaaaaaa linawaka eneo lote linakuwa na mwanga.
Picha linaanza tumefika eneo la tukio saa 4 usiku sion hata mwanga wa moto naona tu balbu za umeme. Nikauliza "Oya mwenge umeshasepa? Akinionesha ule pale!!
Wakuu Nilishangaa mnooooo!!! Kamoto kadogo af jamaa wamekazunguka!! Af nilicheka kwa chini chini hadi machozi!!!