Mwenge wa Uhuru upo kwa faida ya nani?
Mkuu uko serious kweli kuwa amani inaletwa na mwenge? Kama ni kweli Somalia, South Sudan, DRC wangeuomba ili uwapelekee amani.
Hivi ndugu yangu, haujiulizi kwann waafrika ushirikina na imani nyepesi nyepesi zimeshika sana?! Ni kwa sababu ya sampuli ya watu kama huyo jamaa hapo.

Yaani imagine mtu ana amini kuwa kitu alichotengeneza mwanadamu kinaweza kuwa na muujiza wa kuwafanya wanadamu wengine kuwa watulivu. Yaani Ukimwambia akupe mchanganuo wa kisayansi nini huwa kinatokea hadi mwenge ulete amani anabakia kutoa macho tu.
 
Kukimbiza mwenge au moto ni ibada ya shetani, sasa akitokea rais anayemwabudu Mungu kisawasawa huo mwenge utabaki kuwa kumbukumbu...
 
Yepi hutokea kwenye mwenge,
Kuna madhara yoyote kupitia mwenge
 
Asalaam alaykum,

Wito Sina Nia ya kuchafua serekali. Hivi kwa kipindi hichi cha janga la wimbi la tatu la Covid, Kuna umuhimu gani wa kukimbiza mwenge? Maana naona unaleta mikusanyiko isiyo na ulazima na kuchochea ongezeko la ugonjwa huu. Mfano mzuri niliona Jana mwanza,bmwenge ulilala wilaya ya nyamagana (buhongwa shuleni) kikweli nilisikitika Sana watu walikuwa wengi hakunaa social distance ya mtu na mtu, mask zilikuwa zinatolewa Ila asilimia kubwa walikuwa hawana cause Ni wananchi wa chini, pili kulikuwa na show za wasanii watu walikuwa wanajazana wakiwa wamezunguka kuwashangaa.

Tatu usiku walikesha na disco vumbi usiku kuchaa. Mbaya zaidi kulikuwa na kundi kubwa la wanafunzi na watoto wengine hambao hawajui tahadhari au Kinga kifasaha kuhusu covid. Ni aibu kwa serekali kuu ambayo inajifanya inajali kuhusu wimbi la tatu la covid huku wakiruhusu mwenge uzunguke nchi mzimaa. Shame on you!

Kuna ulazima gani wa kukimbiza mwenge? Na ksma Kuna ulazima kwani wasiuzungushe na magari tu na ukifika wilaya au mkoa unapotakiwa ukalale, ulalee ofisi ya mkuu wa mkoa au wilaya na kuwe na limit ya watu.

Alafu najiuliza, huo mwenge kwa Karne hi unamanufaaa gani kwa taifa?maana naona unahamashisha ulevi, uzizii, ugovi wa familia na watoto kupotea kila utapo lala mahali.mtanisamehe sio muandishi mzuri Ila naomba kuwakilisha.

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Labda mtu atujuze, mwenge ni Nini?na nikwanini unakimbizwa kila mwaka?na unafaida gani kwa taifa?mean kwa Pato la taifa na mwananchi wa kawaida?je usipokimbizwa nchi mzima Nini kitatokea?na je wakifanya kuwasha kwenye siku ya Uhuru tu sehemu ambayo itaadhimishwa ki taifa kutakuwa na dhara lolote?
 
Toka nimeanza kuufahamu huu mwenge na kufatilia umuhimu wake kwakweli sijaona manufaa yake.
Hayo mambi ya kuzindua miradi, wanasiasa wanaizindua wenyewe. Zaidi zaidi kuongeza matendo mauvu tu pale unapolala.
 
Asalaam alaykum,

Wito Sina Nia ya kuchafua serekali. Hivi kwa kipindi hichi cha janga la wimbi la tatu la Covid, Kuna umuhimu gani wa kukimbiza mwenge? Maana naona unaleta mikusanyiko isiyo na ulazima na kuchochea ongezeko la ugonjwa huu. Mfano mzuri niliona Jana mwanza,bmwenge ulilala wilaya ya nyamagana (buhongwa shuleni) kikweli nilisikitika ...
MWENGE Ni shetani linalo ongoza Taifa hili. Mwendazake hakukimbiza MWENGE akafa.
 
Asalaam alaykum,

Wito Sina Nia ya kuchafua serekali. Hivi kwa kipindi hichi cha janga la wimbi la tatu la Covid, Kuna umuhimu gani wa kukimbiza mwenge? Maana naona unaleta mikusanyiko isiyo na ulazima na kuchochea ongezeko la ugonjwa huu. Mfano mzuri niliona Jana mwanza,bmwenge ulilala wilaya ya nyamagana (buhongwa shuleni) kikweli nilisikitika Sana watu walikuwa wengi hakunaa social distance ya mtu na mtu, mask zilikuwa zinatolewa Ila asilimia kubwa walikuwa hawana cause Ni wananchi wa chini, pili kulikuwa na show za wasanii watu walikuwa wanajazana wakiwa wamezunguka kuwashangaa.

Tatu usiku walikesha na disco vumbi usiku kuchaa. Mbaya zaidi kulikuwa na kundi kubwa la wanafunzi na watoto wengine hambao hawajui tahadhari au Kinga kifasaha kuhusu covid. Ni aibu kwa serekali kuu ambayo inajifanya inajali kuhusu wimbi la tatu la covid huku wakiruhusu mwenge uzunguke nchi mzimaa. Shame on you!

Kuna ulazima gani wa kukimbiza mwenge? Na ksma Kuna ulazima kwani wasiuzungushe na magari tu na ukifika wilaya au mkoa unapotakiwa ukalale, ulalee ofisi ya mkuu wa mkoa au wilaya na kuwe na limit ya watu.

Alafu najiuliza, huo mwenge kwa Karne hi unamanufaaa gani kwa taifa?maana naona unahamashisha ulevi, uzizii, ugovi wa familia na watoto kupotea kila utapo lala mahali.mtanisamehe sio muandishi mzuri Ila naomba kuwakilisha.

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
hakuna umuhimu
 
Mwaka jana hakukuwa na Mwenge barabara zisizo za lami huko vijijini hazikufanyiwa hata marekebisho kidogo.
Mwaka huu mwezi wa tano nimepita sehemu huko nikaomba poo.

Kama mwenge tu unafanya tufanye vitu fulani, basi uendelee. Nahisi kuna vingi viliathirika
 
sio mwenge tu hambacho hakina faida je lile chuma ninalewekwa mezani ndani ya bunge mara linatolewa na kuwekwa kabatini mara linatolewa kuwekwa juu ndio bunge lianze lina faida gani?
 
Tulishaongea sana kuhusu hili swala la mwenge, nadhani kuna watu wana maslahi nalo labda walozi, washirikina na waabudu mizimu.......maana imani ya kikristo hairuhusu ibada za moto, hiyo inakuwa ni ibada kwa ibilisi....
 
Back
Top Bottom