Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala

Kauli kama hizi kwa kiongozi unayetumainiwa na umati wa watu ni JANGA LA TAIFA!

Halafu anautaka Urais si ataua watu huyu?

Unakosaje maadili

Jeuri

Kiburi

Fedhuli

Si maungwana.....


HAFAI ATUMBULIWE!
 
Damu ya mtu haiendi bure,mikono yake inanuka damu,serial killer
 
Kama mwigulu ni PhD wa uchumi na anajitapa tusimtilie mashaka basi hiyo wizara ni bora ateuliwe kibajaji au msukuma, hauwezekani Dr nzima wa uchumi pamoja team yake nzima ya wizara washindwe kujua double taxation ni illegal na ni uvunjaji wa sheria.
Nitamshangaa Rais Samia Kama atamuacha huyo muuaji kwenye iyo wizara ya Fedha, Mwigulu yupo hapo kimkakati,mama inatakiwa ampige chini haraka, hiyo WIZARA apewe dokta Kimei itamfaa
 
Mwigulu hana nyota na Watanzania
Kila akitajwa kuwa waziri Fulani huwa anaandamwa sana.
Tatizo Mwigulu Ni kiburi na muuaji mkubwa, haiwezekani atuletee kiburi,wakati huo mshahara unaomtia kiburi Ni Kodi zetu sisi wananchi, huyu mbwa hafai kupewa nafasi yoyote kwenye hii Nchi kumbe
 
NAsikia alimlipa mtu milioni 15 akaandikiwa na kupewa digrii. UD nayo imejaa uchafu tu!
 
MAMA YETU RAIS WETU MPENDWA SSH

TUNAKUPENDA SANA!

KUNA BAADHI YA VIONGOZI WALIO KUZUNGUKA HAWAKUTAKII MEMA MMOJA WAPO NI HUYU MWIGULU NCHEMBA!

FISADI MUHARIBIFU ANAYEJITAHIDI KUKUFISIDI NA KUKUCHAFUA KWA WANANCHI WAKO!


TUMEMSHTUKIA!!!!!.........


HAFAI!!!!

MUONDOE KABLA HAJA KUHARIBIA!
 
PhD yakuloga ili apendwe huku hapendeki.
Aje aloge huku Jf
 
Uwiii???! PhD yake ichunguzwe. Hata hivyo wa-Tz hatushitushwi na kauli za viongozi hawa. Kuna mwingine, mkubwa tu, alishawahi kutamuka: "Hata msipotuchagua tutaunda serikali tu". Wamelewa na "sixty years in power".
 
 
Tuombe Mungu sana....

Maana 2030 atakuwa front kuchukua form ya urais huyu jamaa. Ni dikteta kamili.
 
 
Utaratibu wakujiuzuru haupo Tanzania watu hawapendi kulinda heshima zao mpaka watoke kwa kufutwa kazi dah!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…