Kama hawajafa waite unywe nao kahawaThe good die younger!
I usually sipp coffee with them, evils.Kama hawajafa waite unywe nao kahawa
Swagga za wahenga kuwa kizuri hakidumu ni uongo wa karne....
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo
Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025
Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo
Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025
Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional
Chanzo: TBC
Mtume alikosa nini?Kasema kweli we uoni Kikwete na Mzee Mwinyi wapo hai hadi leo
Halafu alikufa akiwa yanki kabisa [emoji23]Mtume alikosa nini?
Hii Kauli itamtafuna mzee makamba sanaHii kauli baada ya miaka 20 ijayo haitakuwepo humu
Huyu soon ataanza kuzika watoto wake.
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo
Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025
Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo
Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025
Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional
Chanzo: TBC
Kafanya nini Shetani?πΌHuyu shetani huyu
Watu walishanunua mpaka wine wapo tu wanamsubiria πππKwa hii kauli ajiandae tu, labda asiwe marehemu siku moja ila kama atakufa familia yake itapitia machungu sana kwa vijembe atavyotandikwa navyo marehemu.