Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama walivyomffaanya yule mwingine 2015Sisi watu wa cuba tunajua kabisa mama hatoboi 2025 na wanaompamba Leo ndio watakaomchinja ili kupitisha Rafiki zao ama watoto wao.
This has changed my mind!Kauli mbaya kuwahi kuisikia tangu mwaka uanze.
Amesahau alivyokuwa akisifu!! Tatizo letu kuu Afrika wanasiasa wengi wanaamini siasa maana yake ni uongo uongo tu !! Ndio maana Bara hili linajikongoja kwa kusuasua !! Akipatikana mkweli ni lazima atachukiwa na kudhibitiwa kwa namna yeyote ile kwa sababu wanaona amekiuka imani yao !!Mnafiki tu huyu! Kwani wakati ule yeye hakuwemo kati ya waliokuwa wakisifu na kuabudu?
Anakufuru tu huyo mzee.Kasema kweli we uoni Kikwete na Mzee Mwinyi wapo hai hadi leo
Labda wewe umesahau,Magufuli alitambua baadhi ya maadui zake kuwa ndani ya CCM na alikuwa anaongea wazi kabisa.Magufuli wenu sikumpenda hata kidogo baada ya kuanza kuua watu hovyo na kuona upinzani ni uadui, lakini lazima nikiri kuwa watu wanafiki kama huyu ndiyo alitakiwa awafanye kitu kibaya kabisa ikibidi awapoteze. Angekuwa amewashughulikia na kuona upinzani ni washirika wake Tanzania ingekuwa mahali pazuri sana leo. Maskini hakujua kuwa maadui wake halisi ni wana CCM wenzake. Huyu mzee anawakilisha mawazo ya akina Kinana, Kikwete na wengine wengi.
Ukipima maneno ya waropokaji wakina Mzee Makamba utajua tu kwamba huyu mzee anajua kilichopo nyuma ya pazia ila hana mbinu na ndio maana analeta maigizo na kuropokaKama walivyomffaanya yule mwingine 2015
Sasa kama watu hawali katiba wala hawali tume Huru wanataka elimu Bora, hosptal bora, miundombinu Bora na hajafanikiwa kuwapa for the past 50yrs. Kwa nn wasidai kubadilishwa kwa Kile kinachoonekana ndio kinaendelea kuwaweka madarakani.Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo
Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025....
Wanatuona mazwazwa tusiojua tumetoka wapi na tunaenda wapi.For the past fuc***ing 60 yrs we've been hearing same shit...
Na bado watu wanataabika kwenye vitu hivyo hivyo maji, umeme, afya, elimu...
Kaongea ukweli mchunguMzee kasema kweli kabisa, kwa lugha yake "Katoboa Tobo"🤣🤣
hii alikosea sana na ni vyema samia alimrekebushaHii nchi sio yenu. Hili ni taifa la watanzania. Chochote kinaweza kutokea
Hii ni pumba.
View attachment 2439965
ni kweli na najua washamwambiaMzee kateleza kakosea sana... Hopefully watamueleza in private
Binaadam waliopo chini ya ardhi wengi ni waovu?babu zako na bibi zako wamekufa kwa uovu? Mitume wengi wamekufa je wao waovu?Ni kuwa kiongozi ukiwa mzuri watu watakuombea dua, watu wa dini, na imani zote watakuombea usipatwe na maradhi na Mungu husikiliza maombi yao
Lakini ukiwa kiongozi mbaya ambaye unanyanyasa watu, unaua, unawabomolea nyumba, unawafilisi damu za watu zinakulilia, machozi yao hayawezi kwenda bure na utakufa mapema
Yesu ilikuwa ni mipango ya Mungu afe na afufuke ili watu waokoleweYesu kusurubiwa msalabani alikuwa kiumbe mbaya sana ndio maana alikufa msalabani,?kadhalika mtume Muhammad hatuko naye naye alikuwa kiumbe mbaya.?
Kinachonishangaza nyie vijana ni wapumbavu mpaka mmepitiliza,yaani hujaamini huyo kibabu kakosea na pengine medula imecheza,wewe ni utoko wa govi