tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Ni kweli kabisa. Ndio maana mwendazake hatunaye.Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa. Ndio maana mwendazake hatunaye.Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo...
Hii nchi sio yenu. Hili ni taifa la watanzania. Chochote kinaweza kutokea.
Hii ni pumba.
View attachment 2440229
MUNGU HADHIHAKIWI Mzee Makamba Waliokufa hawakupenda na wala hawana UBAYA unaousema na Tulio HAI sio kwamba Tu Watu WEMA ipo Siku Wewe na sisi pia Tutakufa.Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo...
Kwa hiyo Watu wote Waliokufa pamoja na NDUGU zako Walikuwa WABAYA na mlikiwa Hamueaombei Dua?Ni kuwa kiongozi ukiwa mzuri watu watakuombea dua, watu wa dini, na imani zote watakuombea usipatwe na maradhi na Mungu husikiliza maombi yao
Lakini ukiwa kiongozi mbaya ambaye unanyanyasa watu, unaua, unawabomolea nyumba, unawafilisi damu za watu zinakulilia, machozi yao hayawezi kwenda bure na utakufa mapema
Mzee umri umeenda, watu wakizeeka wanarudi utotoni. Kapitiwa tu.Na siku akifa tutajua kuwa nae alikuwa mbaya ndio mana kafa.
Tuombeane afya na kauli njema kwa binadamu wenzetuMimi ninapomuona babangu, huwa naogopa sana uzee huku nikimuomba Mungu kama uzee wenyewe ndo inakuwa hivi basi kabla sijafikia huko bora tu akanipumzishe...
Yesu alikuwa na miaka 30+ bila Shaka alikuwa ni kiumbe mbaya Sana yuleYesu kusurubiwa msalabani alikuwa kiumbe mbaya sana ndio maana alikufa msalabani,?kadhalika mtume Muhammad hatuko naye naye alikuwa kiumbe mbaya.?
Kinachonishangaza nyie vijana ni wapumbavu mpaka mmepitiliza,yaani hujaamini huyo kibabu kakosea na pengine medula imecheza,wewe ni utoko wa govi
Hata yeye atakufa, samia atakufa na sio kuwa hajui hilo sababu kwa muda alioishi duniani lazima amezika wengi alioamini ni watu wema.Binaadam waliopo chini ya ardhi wengi ni waovu?babu zako na bibi zako wamekufa kwa uovu? Mitume wengi wamekufa je wao waovu?
Imani gani?Hapo hanywi kilevi kwa mujibu wa imani yake, sijui angekuwa anabwia ulabu sijui angekuwaje
Kuna watu wengi wanaokimbia machafuko kutoka nchi za Kiislam kukimbilia nchi nyengine za Kiislam zenye amani kama Saudi Arabia, Qatar, UAE, Jordan nk.Kwanini Raia wa nchi za kiislamu kama Afghanistan, Iran, Syria n.k wakipatwa na machafuko ya nchi hukimbilia nchi za Kikristo (France, UK, America n.k.) ?
Kwani mie nimesema kamtaja Magufuli?Hivi kamtaja Magufuli kwani?
Nipambane kuhusu nini?Pambaneni sasa
Usinipangie cha kusema we chawa wamambuzi, kama ambavyo sijakupangia wewe kuwa chawaAcha kuropoka waliomuua ni nyie wenywe wanafiki wa CCM . Halfu yeye alipomlamba Lissu Risasi?. Nani alimuonea huruma Lissu?. Azory na Saanane wamepotea kwenye utawala wake , naani anawazungumzia. Tuache unafki