Mzee Mohamed: Tuna kazi kubwa sana kumuandaa kijana atakayefanana na Magufuli

Pumbavu
 

Mbona SGR imebuniwa 2005. Yeye Ni mtekelezaji sio mwasisi
 
Weeh mzee weeh!!
Hamna haja ya kumuanda! Wako wengi tu SEMA shida kubwa ni hii ukoo wa Panya CCM unaotafuna na kupukuza! Nafasi zinapewa walewale tu watu wamestaafu wanarudishwa kazini!

Isitoshe wako vijana mahiti upande wa pili mfano halisi ni mkoswakoswa wa risasi akiwepo huyu unayempa sifa! Inawezekana kabisa kuwapatia wenye uchunguzi na nchi hii.
 
Ahaa wako na Jpm wapi ahera au mbinguni
 
Hiyo ni dodoma tu mikoa ya wajinga na masikini ccm imetamalaki na ndio ngome yao,ndio maana ccm haitaki kupunguza umasikini
 
Huyo mzee ni nani katika nchi hii,mnaokota wauza kahawa mnawarekodi wanaongea kwa niaba ya watanzania
Kwahiyo wewe ni nani katika hii nchi hadi upingane na mzee Mohamed.

Kwani kuuza kahawa sio kazi inayompatia riziki?

Mmeanza dharau zenu wauza nchi.
 
Alimwambia bosi wake Rais Mkapa, kuna mambo makubwa tunaweza kufanya bila kubembeleza wazungu. Barabara ya kwanza kujengwa Tanzania kwa hela ya ndani lilikuwa wazo lake.

Ameishi na amekufa na imani hiyo. Hotuba ya ziara yake ya mwisho akizindua stendi ya D'Salaam akatamka, "tuliwaomba barabara ya njia mbili wakaturingia, tunajenga wenyewe ya njia 8." Uwanja ukarindima, wananchi wakaamsha vichwa juu, vifua mbele.

Hata Nyerere hakuwahi kuwatamkia wazungu "msituringie."

He was a visionary with big brass balls.
 
Yuko wapi sasa,kumtukana mzungu adharani ni sawa na kulala na kahaba bila kinga utakufa
 
Ni miongoni mwa waasisi wa Afro Shiraz Party Zanzibar acha kucharau watu na amezungunza kupitia Channel Ten kituo kinachomilikiwa na Chama cha Mapinduzi
Ana umri gani hata akawa muasisi wa ASP? Au amerithi uasisi kwa baba yake?
 
Mawazo Yako waliomchaguwa MAGU na wabunge ni wengi mno angalia mazishi Yako na wanavyo mkumbuka niushaidi tosha aliwagalagaza vibaya
 
Sasa chuki zimetoka wapi? Nchi imetoka wapi kwani we hujui!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…