SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
PumbavuMZEE Mohammed Juma, Mkazi wa Unguja Zanzibar amesema kama Taifa tuna kazi kubwa sana kumuandaa kijana atakayefanana na Hayati Dk. John Pombe Magufuli na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele
“Tuna kazi kubwa sana ya kumuandaa kijana atakayefanana na Magufuli, tuna kazi kubwa sana , yule mzee aliingia pale hakuwa na tamaa yoyoye aliingia pale kwa niaba ya kuijenga Tanzania na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele” Mzee Mohamed Juma Mkazi wa Unguja, Zanzibar Tanzania.
Hilo ni kweli tupu. Jana nilipita sehemu panapoendelea ujenzi sgr nikaona kazi inavyotembea na nikajisemea kweli Magufuli alikuwa kichaa. Kichaa mwenye maamzi magumu aliyekuja wakati mwafaka kabisa. Ndani ya miaka yake mitano aliweza ibadili tz kwa miundombinu pamoja na mambo mengine mazuri kedekede.
Nb. Kichaa si tu mwehu bali pia mtu mwenye maamzi magumu na mzee wa kazi kazi
Weeh mzee weeh!!MZEE Mohammed Juma, Mkazi wa Unguja Zanzibar amesema kama Taifa tuna kazi kubwa sana kumuandaa kijana atakayefanana na Hayati Dk. John Pombe Magufuli na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele
“Tuna kazi kubwa sana ya kumuandaa kijana atakayefanana na Magufuli, tuna kazi kubwa sana , yule mzee aliingia pale hakuwa na tamaa yoyoye aliingia pale kwa niaba ya kuijenga Tanzania na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele” Mzee Mohamed Juma Mkazi wa Unguja, Zanzibar Tanzania.
Ahaa wako na Jpm wapi ahera au mbingunishika adabu yako Mzee Mohamed hakusema ameongea kwa niaba ya watanzania wewe ndio umesema hayo maneno yeye ameongea hisia zake, Watu wazuri hawafi inawauma baada ya kampeni yenu ya SUKUMA Gang kugonga mwamba sasa mnaanza kutapatapa kuona wazanzibari wako na JPM
Hiyo ni dodoma tu mikoa ya wajinga na masikini ccm imetamalaki na ndio ngome yao,ndio maana ccm haitaki kupunguza umasikiniHakuna ndoa yoyote batili Kati ya CCM na dola isipokuwa kupitia sanduku la kura. Mimi siku zote nipo tofauti na CHADEMA na vyama vingine vya upinzani kwenye Jambo hilo. Mitaani na vijijini huko watu wengine hawavijui wala hawavifahamu vyama vingine vya upinzani leo mzee Dovutwa sijui yule mzee wa ubwabwa anakuja na yeye anadai kaibiwa kura.
Wacha nikukumbushe tena mtaa ninaoishi Mimi wanachama wa CHADEMA hawazidi hata 80 wakati wanachama wa CCM wapo zaidi ya 5000 bila kuhesabu watoto na wakinamama. Upinzani hauna watu mitaani na huku mitandaoni wanapojivunia napo sio pa kuamini.
Muuaji kapiga risasi lissuHakuna raisi kama Magufuli na hakuwa na maadui ni wapumbavu wachache wasiomuelewa ..
Kwahiyo wewe ni nani katika hii nchi hadi upingane na mzee Mohamed.Huyo mzee ni nani katika nchi hii,mnaokota wauza kahawa mnawarekodi wanaongea kwa niaba ya watanzania
Yuko wapi sasa,kumtukana mzungu adharani ni sawa na kulala na kahaba bila kinga utakufaAlimwambia bosi wake Rais Mkapa, kuna mambo makubwa tunaweza kufanya bila kubembeleza wazungu. Barabara ya kwanza kujengwa Tanzania kwa hela ya ndani lilikuwa wazo lake.
Ameishi na amekufa na imani hiyo. Hotuba ya ziara yake ya mwisho akizindua stendi ya D'Salaam akatamka, "tuliwaomba barabara ya njia mbili wakaturingia, tunajenga wenyewe ya njia 8." Uwanja ukarindima, wananchi wakaamsha vichwa juu, vifua mbele.
Hata Nyerere hakuwahi kuwatamkia wazungu "msituringie."
He was a visionary and had brass balls.
Ana umri gani hata akawa muasisi wa ASP? Au amerithi uasisi kwa baba yake?Ni miongoni mwa waasisi wa Afro Shiraz Party Zanzibar acha kucharau watu na amezungunza kupitia Channel Ten kituo kinachomilikiwa na Chama cha Mapinduzi
wala si uongo wasukuma wengi sana wako visiwaniHaters watasema sukuma gang wapo mpaka visiwani
Sio bure mzungu anaweza kulazimisha kukupakata na usifanye loloteYuko wapi sasa,kumtukana mzungu adharani ni sawa na kulala na kahaba bila kinga utakufa
Lissu kapigwa na wenzie wa chadema na ni msaliti .Muuaji kapiga risasi lissu
Mawazo Yako waliomchaguwa MAGU na wabunge ni wengi mno angalia mazishi Yako na wanavyo mkumbuka niushaidi tosha aliwagalagaza vibayaKama mlijua anakubalika hivi why mkapora uchaguzi hivi unajua Jimbo nalotokea hatukufanya uchaguzi wa ubunge Wala kata sababu CCM walipiga bila kupingwa ila eti kura za Urais turnout ilikua 90%!!!! Imagine
Hizi hoja zenu zingekua na ukweli kama mngeruhusu demokrasia Ili angeshinda kihalali wote tungeziba mdomo ila Kwa rafu zile nani atapinga kuwa alikua sio popular kama mnavyomkuza humu.
Lissu kapigwa na wenzie wa chadema na ni msaliti .
Sasa chuki zimetoka wapi? Nchi imetoka wapi kwani we hujui!!Eti hakuna rais Kama magufuli, mnalazimisha watu uongo. Kila Rais alifanya yake akaondoka. Haya ya kulinganisha Marais mmeanza nyie msiojua nchi imetokea wapi mpaka hapa ilipofikia. Kama Marais waliopita wangeweka misingi mibaya hata huyo magufuli asingefanya lolote.
Ila Ni kweli hakuna Rais aliyewahi kufia madarakani zaidi ya magufuli hapa Tanzania Bara.
Tumia akili tu lissu hana mamlaka kile chama yupo tu ,mbona lowasa alimuhonga jamaa yule akagombea unajua kwa nn?We Jamaa kumbe ni 0-0 upstairs
Sipati picha km yule katili angekuwepo mpaka leo.Yule katili aliandaliwa? Na nani? Wazee wengine wanastahili kufa tu waache kupoteza scarce energy iliyopo duniani.